Tunanunua smartphone mbovu

Tunanunua smartphone mbovu

drndasika

Member
Joined
Oct 14, 2010
Posts
64
Reaction score
34
Wakuu,

Kwa yeyote mwenye smart phone ambayo haitumiki kutokana na ubovu mfano screen,switch,house etc,tuwasiliane through whatsapp number

0758918144 kuangalia uwezekano wa kununua
 
mwana naitaji mother bord.ya samsung mzima.yangu inazingua kidogo.' ukiwa nayo..0754604567
 
Wakuu Kwa yeyote Mwenye smart phone ambayo haitumiki kutokana na ubovu mfano screen,switch,house etc,tuwasiliane through whatsapp number 0758918144 kuangalia uwezekano wa kununua

mm nna lumia 620,tatizo ni screen na touch kwan we una sh ngap?
 
Mi nina I phone 6 display cracked nd ts high copy ... Ll I take it ???
 
Nina kitecno h4 sijui kile..kipo sawa kila kitu. Hakina sauti ya loudspeaker tu. Ila spika ya kawaida ipo sawa. Nipe 40
 
nina Sony Ericsson Xperia LT 18i tatizo lake ni mwanga..kuna wakati inakata nikiibonyeza sana sehemu ya nyuma inaonesha...hadi sasa naitumia na Hilo tatizo ujitokeza kwa mda na kupotea....sasa nimechoka bei ni elfu 60 tu.
 
Mkuu umeomba namba afu ukasepa . Njoo uchukue kitecno, kinapigwa vumbi
 
Wakuu,

Kwa yeyote mwenye smart phone ambayo haitumiki kutokana na ubovu mfano screen,switch,house etc,tuwasiliane through whatsapp number

0758918144 kuangalia uwezekano wa kununua

Me kuna jamaa yangu anazo nyingii ninazo mcheki whatsapp namba hii +44 7459 661138
 
nina sumsang galaxy note 3 first copy imeharibika mic ya chini na system charg nicheck 0652002828
 
Nina Lumia 720 haisomi lain nitafutie body ya ndani bado naipenda cm yangu
 
Naona mnahangaika kwelikweli wakati hao jamaa hawanunui simu zaidi ya buku 5..nilienda k'koo siku moja na simu zangu nyingine zilikua mbovu speaker tu lakini mtue anataka kukupa buku 2 !!hatari sana wale wahuni.
 
Naona mnahangaika kwelikweli wakati hao jamaa hawanunui simu zaidi ya buku 5..nilienda k'koo siku moja na simu zangu nyingine zilikua mbovu speaker tu lakini mtue anataka kukupa buku 2 !!hatari sana wale wahuni.


Hahahahahahaha
 
Kuna member humu JF anaitwa NGOSHA2011 alini PM nimuuzie smartphone phone ambayo nilipost. simu ambayo ni nzima ila loudspika ndio mbovu, Nikaona sio ishu nikamtumia coz alikua Mwanza, Alisema yeye ni Askari polisi kituo cha Nyamagana jina lake ni LUCAS,. Baada ya simu kufika ndo kimya mpaka leo na namba yake haipatikani.
Aisee we afande uache wizi shenzi kabisa. UAMINIFU MDOGO TU WA SH 40,000 ndo unajiona umewini.
 
Back
Top Bottom