Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 589
- 546
Naifuata usimalize yote...tuishi.Well said.. tunatakiwa kuishi 🤞🏾
Kabisa mkuu!Naifuata usimalize yote...tuishi.
Ni mwendo wa kusindikiza wao tu sio mzeeHapa duniani kunawatu wanaishi na wengine wapo tu....😜
Ngoja nimwambie MwaJ aniongeze balimi ili niendelee kungoja kikokotoo....🍺
WAKATI UNANGOJA UNAISHI!Tunatumia sehemu kubwa ya maisha yetu kungoja kuliko kuishi.
Tunangoja tumalize shule.
Tunangoja tupate ajira.
Tunangoja tupate mchumba.
Tunangoja mchumba abadilike.
Tunangoja ndoa.
Tunangoja tujenge.
Tunangoja tupate watoto.
Tunangoja tuongeze elimu.
Tunangoja tupande cheo.
Tunangoja tupate kazi ya ndoto zetu.
Tunangoja biashara ikue.
Tunangoja tujenge nyumba ya ndoto zetu.
Tunangoja kipato kiimarike.
Tunangoja watoto wasome.
Tunangoja kikokotoo cha kustaafu.
Mara kweli tumezeeka.
Tunangoja kufa. Hatujaishi.
Ni mwendo wa kusindikiza wao tu sio mzee
nilitaka kumuuliza mtoa mada ili uishi inatakiwa uweje Ila comment yako ulivyosema "kuna watu wanaishi" nimepata majibuHapa duniani kunawatu wanaishi na wengine wapo tu....😜
Ngoja nimwambie MwaJ aniongeze balimi ili niendelee kungoja kikokotoo....🍺
Hatuna cha kukushauri maana kungoja ni Sehemu ya maisha hata kifo tunakingoja japo kikija hakitoi taarifaMnanishaurije Mimi ambaye:-
Nangoja watoto wa shule kwenye chochoro ili ningonoke nao,
Nangoja dakika zaidi ya 90 nijamiianapo na wife ndipo nimwage,
Nangoja chakula nikifika kwa watu hasa wakipika wali,
Nangoja...
Sahihi.Hatuna cha kukushauri maana kungoja ni Sehemu ya maisha hata kifo tunakingoja japo kikija hakitoi taarifa