Inaelekea hata hotuba za Mwalimu ulikuwa husikilizi wewe
And speaking of Greatness what was so great about Rashidi?
Come on man, najua sasa hivi Taifa liko sedated na kutaka kumfanya Rashidi Mtakatifu ili hali alikuwa na madhaifu kama binadamu mwingine.
Editorials za magazeti ya leo ni aibu tupu.
Jasusi,
..but i dont think it would make much difference whether ppl were mauled by lions in Rufiji or Mwibara. the main point here is that the government put its own ppl in harms way. hata kama huko walikoishi b4, lion attacks were a common thing bado nalazimika kuamini kwamba the government should have relocated them to areas which were safe.
..halafu jibu alilotoa Mzee Rashidi Kawawa alipopewa taarifa za wananchi kutafunwa na simba halikuwa zuri hata kidogo. sioni kama lina tofauti na yale ya kusema "bora tule nyasi", " they can go to hell ," au " kila mtu abebe msalaba wake "
Jasusi,
..sasa hayo majibu ya "Simba wa Vita" kwamba wananchi kutafunwa na "Simba wala Watu" unayachukulia vipi?
..hivi majibu hayo ni careless and insensitive sawa na yale mengine kama "wananchi tule nyasi" au "they can go to hell " au " kila mtu abebe msalaba wake"?
NB:
..tatizo ninaloliona hapa ni waandishi wa habari kumpa sifa nyingine ambazo siyo zake.
jokaKuu,Jasusi,
..kwani wazazi wa watoto wa kawaida huwa wanaacha urithi gani?
..kwanini taifa liwe "guilty" kwasababu Mwalimu,Kawawa,Salim Salim,Warioba etc hawakuacha urithi kwa watoto wao?
..guys, viongozi wakuu wanaishi kwa kodi yetu tangu wanaingia ktk uongozi. kama hawakuacha urithi hayo ni masuala yao ya ndani.
jokaKuu,Jasusi,
..ingekuwa vema ukawalinganisha hao viongozi wa zamani na wananchi waliowaongoza.
..kwa maoni yangu kuna disparity kubwa kati ya maisha ya viongozi wetu na mwananchi wa kawaida wa nchi hii.
..hali hiyo ilianza tangu zamani na sasa hivi inakuwa mbaya zaidi.
NB:
..unapozungumzia kiongozi masikini moja kwa moja nakwenda kwa watu kama Abel Mwanga.
Yaani, we acha tu. Nilipokuwa Tanzania nilinunua kitabu Rashid Mfaume Kawawa kilichoandikwa na John Magotti. I was so mad. Yaani kimeandikwa ki TANU TANU vile, bila hata maswali ya undani wa hisia na maoni ya Kawawa katika matukio mbalimbali ya Tanzania. What waste!Jasusi,
..sasa unakuta kuna waandishi walipata nafasi ya kumhoji Mzee Kawawa lakini hawakumuuliza kabisa kuhusu kisa hicho.
..kwa kweli mambo kama hayo ndiyo ya ku-include kwenye eulogy ya Kawawa. pia huwezi kuacha mchango wake ktk mgomo wa mabasi ya dmt, na jinsi alivyomsaidia Mwalimu ktk ile kesi kabla ya uhuru.
..vilevile mchango wa Kawawa akiwa waziri wa ulinzi wakati wa vita vya Kagera na Uganda nao lazima upewe nafasi.
..kwa kweli waandishi wetu wamekuwa very shallow ktk kumuenzi Mzee Rashidi Mfaume Kawawa.
Yaani, we acha tu. Nilipokuwa Tanzania nilinunua kitabu Rashid Mfaume Kawawa kilichoandikwa na John Magotti. I was so mad. Yaani kimeandikwa ki TANU TANU vile, bila hata maswali ya undani wa hisia na maoni ya Kawawa katika matukio mbalimbali ya Tanzania. What waste!