Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,824
kusema ukweli huyo jamaa anaoneakana ana malengo ya mbali sana ktk siasa na ni nzuri,
pia anakuwaga na idea flani hivi za tofauti ambazo zingepata utekelezaji mzuri na ushauri mzuri basi angefanikiwa sana ktk adhma yake ktk siasa,
sasa tatizo ni kupenda tention sijui tuseme...wengine mnaita kiki, ila huyo jamaa nikimtafakari kwa jicho la tofauti anafikirisha ubongi wake ss sijui huwa anafikilisha hadi anaoitiliza kabisaa sielewi...
pamoja na yoote anamapungufu yake mengi tu tunayasikia...ajirekebishe aombe radhi awe safi na huru kuwatumikia wananchi,
asikilize ushauri awe vizuri zaidi.
pia anakuwaga na idea flani hivi za tofauti ambazo zingepata utekelezaji mzuri na ushauri mzuri basi angefanikiwa sana ktk adhma yake ktk siasa,
sasa tatizo ni kupenda tention sijui tuseme...wengine mnaita kiki, ila huyo jamaa nikimtafakari kwa jicho la tofauti anafikirisha ubongi wake ss sijui huwa anafikilisha hadi anaoitiliza kabisaa sielewi...
pamoja na yoote anamapungufu yake mengi tu tunayasikia...ajirekebishe aombe radhi awe safi na huru kuwatumikia wananchi,
asikilize ushauri awe vizuri zaidi.