Raia mdogo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2018
- 1,399
- 1,543
Wewe unacho?Cheti cha form 4 kwanza
Maendeleo hayahitaji cheti, kuwa na maendeleo au kufanya kitu cha kimaendeleo sio lazima uende shule, sio lazima Uwe na cheti.Cheti cha form 4 kwanza
Ukweli watu wengi hasa wanasiasa wanamchukia Makonda lakini ukiangalia mambo anayoyafanya na kwa uzoefu wake mdogo katika kazi lakini anajitahidi kuliko hata wakongwe serikalini.
Nimeangalia wale wanaopata huduma za kisheria kwenye ofisi yake..wanamshukuru sana.
Je Mikoa mingine mbona viongozi kama DC na MaRC hawawi innovative kuondoa changamoto badala yake wanakuwa wanyanyasaji.

Ungelikuwa wewe unajitambua unge comment hivi?Hafai kabisa huyu Nyanda, nawashangaa wote mnaomsifia.
Nadhani mmekosa kazi za kufanya hasa nyie wa mikoani hamjitambui kabisa.
Onyesha chako mkuu inatosha.Cheti cha form 4 kwanza
Wapumbavu tu mkuuHafai kabisa huyu Nyanda, nawashangaa wote mnaomsifia.
Nadhani mmekosa kazi za kufanya hasa nyie wa mikoani hamjitambui kabisa.
Ninawasiwasi na kutumbuliwa nyinyi siyo bure.Wapumbavu tu mkuu
Jaribu kuwapuuza
kiDah hate to admit this ila makonda he works sooo hard .. what he does is touch peoples lives directly.. his different he stands out.. kuna siku i saw him hold a very sick
Child the way he was hugging that child in his arms soo protective of the child i was so touched... sasa sijui bana kama kweli this man tunayosikia ninkweli ila jama kwenye kazi anapiga hadi unashindwa kumchukia...
Na usishangae aliyeleta uzi na wanaomsifia wako kwenye payroll ya Bashite,Makonda ni mbunifu mzuri asiyependa/sikiliza ushauri. Ni vitu vingapi ameibua tangu aukwae u-RAS DSM? Ni mangapi yametekelezeka hadi kufikia mwisho?
Madawa ya kulevya aliingilia akaishia kulialia tu makanisani. Isingekua Baba kuingilia kati dogo angezalilika.
Ofisi za walimu sijui zimefia wapi maana hazisikiki tena, hata hili la msaada wa kisheria naliona litakavyoyeyuka hapo itakafika hatua ya mahakamani.
Kuwa na mipango mingi bila kuwa na mbinu za kuifanikisha hadi mwisho, ukiwa kiongozi mkubwa wakutegemewa na wananchi masikini wa kitanzania ni kuwaongezea matatizo zaidi ya kuwasaidia
Makonda anafanya mambo makubwa kushinda hao baadhi ya Maprofessa kwenye baraza la mawaziri huo ubashite unatoka wapi.Na usishangae aliyeleta uzi na wanaomsifia wako kwenye payroll ya Bashite,
Maprofesa sio wanasiasa, ni watendaji. Kuwapa mamlaka ya kichama/kisiasa tusitegemee kuona ufanisi wao.Makonda anafanya mambo makubwa kushinda hao baadhi ya Maprofessa kwenye baraza la mawaziri huo ubashite unatoka wapi.
Haaahaaaaaa.....jamaa yuko vizuri sana. Anajaribu mno ingawa kuna mambo huwa yanatatiza. Labda umri. Atakuja kubadilika.Uko sahihi...RC Makonda ni mbunifu....lakini anachukiwa kwa kuwa wanaona anafanikiwa...watanzania tulio wengi hupenda wenzetu waharibikiwe na halafu tujifanye tunasikitika au kumkejeli waziwazi
Jama anawito wa uongozi anastahiri pongezi
Wengine mbona mliwafukuza kwa matatizo ya vyeti?Makonda anafanya kazi kuliko hao wenye vyeti na ana msaada mkubwa. Wanachohitaji wananchi ni maendeleo.