Next in Line
Member
- May 16, 2023
- 31
- 33
Ieleweke kuwa Waziri anapotangaza msamaha wa riba katika malimbikizo ya kodi ya ardhi mdaiwa anaweza asiwe na uwezo wa kifedha kipindi hicho lakini uwezo huo wa kulipa ukawepo mwaka unaofuata.
Kwa mantiki hiyo ni vizuri Waziri wa Ardhi atoe muongozo wa kufuta riba kwenye malimbikizo ya kodi ya Ardhi kama ilivyofanyika na mtangulizi wake ili wadaiwa walipe.
Nawasilisha.
Kwa mantiki hiyo ni vizuri Waziri wa Ardhi atoe muongozo wa kufuta riba kwenye malimbikizo ya kodi ya Ardhi kama ilivyofanyika na mtangulizi wake ili wadaiwa walipe.
Nawasilisha.