muta acha kulalamika tumetaka wenyewe elimisheni watu waache kuchagua viongozi kwa mazoea hivi muta kwa nini tusiandamane kwenda kulipua hicho kituo? wakati mwingine nawaza ni heri tupigane ili kila mtu awajibike na tuheshimiane ****** yaooooo..,unyago wanaonyesha,vidukwi,miss wanaonesha.
Ni kweli unachosema.Wanatumia kodi zetu kujinenepesha.TIDO kaondelewa kiunazi tu.Mshana hana kitu.Aondoke.Nakumbuka tuliona Taifa na Senegal,Taifa na Msumbiji? MECHI nyinge za nje tuliona.Jamani TIDO.
Umesema kweli kaka ila tangu TIDO aondoke(aliondolewa!) hii TBC ya mshana imekua mbendembende mno yaani hatuoni juhudi za msingi za kukifanya kituo kiwe cha ukweli na uhakika.Angalia hiyo TBC2 ni kujivinjari kutwa nzima,sidhani kama ndo lilikua lengo la TIDO baba mshana ulipewa gunia la sukari umeramba muda sio mrefu utalamba na gunia lenyewe na utalipuliwa soma nembo ya TBS(alama za nyakati)Ta Kamugisha,ukumbuke kuwa si Watanzania wote wana uwezo wa kuwa KINGAMUZI ili waone UBC na KBC.Hizo kbc na Ubc ni sawa na Tbc,ila MKURUNGENZI wetu hana kipya.