Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanabodi,
Naomba kuanza na angalizo, hii ni thread ya swali na sio statement.
Baada ya CAG kuitwa Kuhojiwa Bungeni licha ya kuwa na kinga ya kikatiba, nilisema humu, tunakokwenda, kuna siku Rais wa JMT ataitwa Kuhojiwa Bungeni.
Dalili za awali zimeanza.
Leo Rais wa JMT ameamrishwa na Bunge, asipeleke Bungeni Ripoti ya CAG iliyosainiwa na CAG Prof. Mussa Assad kwa hoja kuwa Bunge halifanyi kazi na Prof. Assad, hivyo rais ameamriwa asipeleke ripoti hiyo yenye saini ya Prof. Assad na badala yake rais ameamriwa na kupangiwa kazi na Bunge, amsimamishe kazi CAG kwa uchunguzi, ateue Kaimu CAG, zichapwe ripoti mpya, zisainiwe upya ndipo Bunge litapokea.
Amri yenyewe ya kumuamuru rais wetu ni hii
,
Ripoti ya CAG ni lazima isainiwe na CAG na ndio mwenye mandate. Ripoti ikiisha kabidhiwa kwa rais wa JMT, ni lazima iwasilishwe Bungeni ndani ya siku 7. Isipo wasilishwa ni ukiukwaji wa katiba.
Ofisi ya CAG iko kwa mujibu wa katiba, Bunge kufanya kazi na CAG ni takwa la kikatiba, Bunge letu limepata wapi uwezo wa kuchagua litafanya kazi na Nani?!
Sasa limefikia hatua ya kumuamuru rais asiwasilishe ripoti yenye saini ya Prof.Assad na badala yake itapokelewa only if sahihi itabadilishwa!, Huku sio kumpangia kazi rais?. Huku sio kumuamrisha rais wa JMT?.
Kwa mujibu wa Katiba yetu Rais wa JMT ni executive president, ni head of state and the Commander in Chief of Defense Forces and Security, hapangiwi, haamrishwi na yoyote, anaweza kutokea ushauri wa yoyote, lakini katika kufikia maamuzi, rais hufikia maamuzi yeye mwenyewe at his own accord. Sasa hili Bunge linalomuamrisha rais wetu, limepata wapi uwezo huo na mamlaka hiyo?!
Kama mimi ndio Rais Magufuli, ningeiwasilisha hiyo Ripoti hivyo hivyo ilivyo na sahihi ya CAG, Prof. Assad halafu nilione hilo Bunge kidume liikatae.
Kitakacho fuata ni kwa rais kulivunja Bunge. CAG yupo hadi mwaka 2023.
Amri yoyote ya kumuamuru rais wa JMT ni amri batili, na ikitokea Rais Magufuli akaamrishwa na akaamrishika, then nitaamini lao moja na hii ita set a very bad precedence ya undermining mamlaka ya Rais wa JMT.
Alihamisi Njema.
Paskali
Naomba kuanza na angalizo, hii ni thread ya swali na sio statement.
Baada ya CAG kuitwa Kuhojiwa Bungeni licha ya kuwa na kinga ya kikatiba, nilisema humu, tunakokwenda, kuna siku Rais wa JMT ataitwa Kuhojiwa Bungeni.
Dalili za awali zimeanza.
Leo Rais wa JMT ameamrishwa na Bunge, asipeleke Bungeni Ripoti ya CAG iliyosainiwa na CAG Prof. Mussa Assad kwa hoja kuwa Bunge halifanyi kazi na Prof. Assad, hivyo rais ameamriwa asipeleke ripoti hiyo yenye saini ya Prof. Assad na badala yake rais ameamriwa na kupangiwa kazi na Bunge, amsimamishe kazi CAG kwa uchunguzi, ateue Kaimu CAG, zichapwe ripoti mpya, zisainiwe upya ndipo Bunge litapokea.
Amri yenyewe ya kumuamuru rais wetu ni hii
Spika Ndugai: Bunge limeazimia kutofanya kazi na Profesa Mussa Assad si ofisi ya CAG. Ripoti itasomwa endapo haijasainiwa na Prof. Assad
Spika wa Bunge, Job Ndugai ametoa ufafanuzi juu ya azimio la Bunge la kutokufanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuwa Bunge limeazimia kutofanya kazi na kutoshirikiana na CAG na sio ofisi ya CAG. Kwa mantiki hiyo, ripoti itasomwa endapo haijasainiwa na ASSAD. ========...
www.jamiiforums.com
Japo haijatolewa expressly but impliedly lakini amri ni amri, Rais wa JMT hawezi Kuamrishwa na yoyote, na huwezi kuitenganisha ofisi ya CAG na CAG kama ambavyo huwezi kuitenganisha Ikulu na rais.Spika wa Bunge, Job Ndugai ametoa ufafanuzi juu ya azimio la Bunge la kutokufanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuwa Bunge limeazimia kutofanya kazi na kutoshirikiana na CAG na sio ofisi ya CAG. Kwa mantiki hiyo, ripoti itasomwa endapo haijasainiwa na ASSAD. View attachment 1062521
========
Dodoma. Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema Bunge lilitangaza kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad na si ofisi yake.
Ndugai ametoa kauli hiyo leo mchana Alhamisi Aprili 4, 2019 baada ya kuwatambulisha wageni walioalikwa bungeni, akiweka sawa hali ya sintofahamu iliyoibuka baada ya Bunge kutangaza kutofanya kazi na Profesa Assad.
“Hakuna wakati wowote ambao Bunge limekataa kufanya kazi na taasisi ambayo ni ofisi ya CAG. Bunge hili limekataa kufanya kazi na mtu anayeitwa Profesa Assad basi. Tusiripoti tofauti tukauchonganisha umma na kuuchanganya,” amesema Ndugai.
Aprili 2, 2019 Bunge lilipitisha azimio la kutofanya kazi na Profesa Assad kwa sababu ya kauli yake aliyoitoa wakati akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa kuwa Bunge ni dhaifu.
Chanzo: Mwanan,chi
,
Ripoti ya CAG ni lazima isainiwe na CAG na ndio mwenye mandate. Ripoti ikiisha kabidhiwa kwa rais wa JMT, ni lazima iwasilishwe Bungeni ndani ya siku 7. Isipo wasilishwa ni ukiukwaji wa katiba.
Ofisi ya CAG iko kwa mujibu wa katiba, Bunge kufanya kazi na CAG ni takwa la kikatiba, Bunge letu limepata wapi uwezo wa kuchagua litafanya kazi na Nani?!
Sasa limefikia hatua ya kumuamuru rais asiwasilishe ripoti yenye saini ya Prof.Assad na badala yake itapokelewa only if sahihi itabadilishwa!, Huku sio kumpangia kazi rais?. Huku sio kumuamrisha rais wa JMT?.
Kwa mujibu wa Katiba yetu Rais wa JMT ni executive president, ni head of state and the Commander in Chief of Defense Forces and Security, hapangiwi, haamrishwi na yoyote, anaweza kutokea ushauri wa yoyote, lakini katika kufikia maamuzi, rais hufikia maamuzi yeye mwenyewe at his own accord. Sasa hili Bunge linalomuamrisha rais wetu, limepata wapi uwezo huo na mamlaka hiyo?!
Kama mimi ndio Rais Magufuli, ningeiwasilisha hiyo Ripoti hivyo hivyo ilivyo na sahihi ya CAG, Prof. Assad halafu nilione hilo Bunge kidume liikatae.
Kitakacho fuata ni kwa rais kulivunja Bunge. CAG yupo hadi mwaka 2023.
Amri yoyote ya kumuamuru rais wa JMT ni amri batili, na ikitokea Rais Magufuli akaamrishwa na akaamrishika, then nitaamini lao moja na hii ita set a very bad precedence ya undermining mamlaka ya Rais wa JMT.
Alihamisi Njema.
Paskali