johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,460
- 147,189
Watanzania Siyo Wajinga na huu ujanja ujanja wa Mawaziri kumtaja taja Rais wa JMT katika kila tukio Watanzania wameshaung'amua
Mawaziri wengi ni dhaifu na ni Wafanyabiashara
Mungu wa Mbinguni mbariki Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Manyara
Nawatakia Sabato Njema 😄
Mawaziri wengi ni dhaifu na ni Wafanyabiashara
Mungu wa Mbinguni mbariki Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Manyara
Nawatakia Sabato Njema 😄