cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,658
- 137,379
Kavu kavu ndo tamuuu. alisikika mwanafunzi m1 akijibu hivyo. LolSambazeni kondomu mashuleni na wafundishwe kuzitumia, mnaogopa mimba kuliko HIV…. nonsense.
Kavu kavu ndo tamuuu. alisikika mwanafunzi m1 akijibu hivyo. LolSambazeni kondomu mashuleni na wafundishwe kuzitumia, mnaogopa mimba kuliko HIV…. nonsense.
Nakubaliana nawe kwa ulovyochangia hapa,welldone mkuu,binafsi sipendi kabisa adhabu za aina hii ambazo zinatoa vitisho sio kuzuia tatizo(mimba bado ni nyingi mno pamoja na adhabu hii ya 30yrs)na pia sipendi kabisa death sentences ,hapa ni elimu elimu na elimu ili wanafunzi wetu wajielewe kuwa sexually active katika umri mdogo its not a smart move.Sawa Sheria ipo ya kumlinda Mtoto wa kike,na inatoa adhabu kali sana kwa mtu anempaa Mimba Mwanafunzi maana amemkatishia masomo yake! Sasa Sheria hiyo hiyo imemruhusu Mtoto wa kike aendelee na masomo yake,kwa hiyo Sasa hivi hakatishwi masomo yake tena! Je unapo mfunga baba wa Mtoto kwa miaka 30 huoni pia umemnyima Mtoto huyohuyo kua na Baba!? Na Mama atabaki kua single mother!! Tafakari!!!!!!!!
No no usinilishe maneno yako au kunisemea,kwangu mimi msichana under 16yrs hana uwezo wa kuwa na uamuzi na mimba hizi lazima ziripotiwe police maana ni rape,tujadili hoja hii kwa uwazi bila kuonyesha u better person than me.Kwan umri sahihi wa kumpa mwanafunzi mimba ni upi?😂😂😂 maana statement yako inaonesha kama vile kuna umri ambao mwanafunzi anaruhusiwa kubeba ujauzito
Kwenye 100 yupo 1,,,,na alijitengenezea mazingira mwenyewKuna mazingira mengi ya kupata ujauzito. Jaribu kuconsider wale walio pata kwa kubakwa
Any evidence of primitivity of human brain under 16 yrs??No no usinilishe maneno yako au kunisemea,kwangu mimi msichana under 16yrs hana uwezo wa kuwa na uamuzi na mimba hizi lazima ziripotiwe police maana ni rape,tujadili hoja hii kwa uwazi bila kuonyesha u better person than me.
Kwani kubakwa maana yake Nini?Nijuavyo Mimi,hata kama Binti amekubali Kwa ridhaa yake ila Yuko under age basi umembaka!Kubakwa? Katika elfu moja labda mmoja.
Kumbe tutaongeza idadi ya masingle maza.....this works to our advantage wazee wakugegeda maana masingle maza ni wakugegeda tuu alafu hamna kuoa...sheria nzuri hiiSawa Sheria ipo ya kumlinda Mtoto wa kike,na inatoa adhabu kali sana kwa mtu anempaa Mimba Mwanafunzi maana amemkatishia masomo yake! Sasa Sheria hiyo hiyo imemruhusu Mtoto wa kike aendelee na masomo yake,kwa hiyo Sasa hivi hakatishwi masomo yake tena! Je unapo mfunga baba wa Mtoto kwa miaka 30 huoni pia umemnyima Mtoto huyohuyo kua na Baba!? Na Mama atabaki kua single mother!! Tafakari!!!!!!!!
Si Munge mwenyewe?Duh!! Nani kabariki ngono?
Kwani kubakwa maana yake Nini?Nijuavyo Mimi,hata kama Binti amekubali Kwa ridhaa yake ila Yuko under age basi umembaka!
Ushauri bora huu.Ukweli utawaweka huru. Acha kuzunguka na kujifariji. Watoto wanafanya ngono. Wenyewe Kwa wenyewe na sababu ya hela na tamaa za ukubwa wa mambo hurukia watu wazima. Wazazi wana Kama wewe mna mchango mkubwa sana katika haya. Tafuteni namna watoto wa kike wabebe respobility ya matendo Yao.
Watoto wa kizungu wanajua haya mambo mapema na wakifika 14 mahusiano ruksa. Lakini sio rahisi kudanganywa na ngumu kusikia mwanafunzi kapata mimba ghafla.
Kwanza tukubali Wanafanya kwa hiari yao. Then tuwape Elimu toka ndani ya Familia na uhuru wa kuongea. Watoto Wajue kuwa kuwa katika mahusiano Ni jambo jema Lakini isiwe Siri.
Kwa kipindi kifupi tu tangu rais Wetu mpendwa mama Samia kumrith marehem magufuli yani amemfunika Vijaya sana. Nduli magufuli alidhani urais ni kufokafoka na kurukaruka hapa na Pale kama swala.Mpaka sasa sijapata kujua kuwa kifungu cha 60 A(3) cha Education Act kinachowatia hatiani wanaowapa mimba wanafunzi kama kinafanya kazi.
Kuruhusu wanafunzi kurudi masomoni baada ya kupata mimba na kujifungua ni sawa na kuruhusu washiriki matendo ya ngono hata kabla ya kumaliza shule.
Sasa kama ndio hivi mbona kama mnahalalisha ngono kwa wanafunzi mnawakamata wanaoshiriki nao ngono?
Je, hamjui madhara ya mlichokihararisha? DC Kaliua aagiza mwalimu wa sekondari akamatwe
Dah!Kwa kipindi kifupi tu tangu rais Wetu mpendwa mama Samia kumrith marehem magufuli yani amemfunika Vijaya sana. Nduli magufuli alidhani urais ni kufokafoka na kurukaruka hapa na Pale kama swala.
Unajua mtu anayeitwa Minor..., kama wewe sio mwanafunzi, mwalimu au mtu wa mtaani kumpa mimba mwanafunzi ni kosa..., hivyo jihadhari kwa hili..., kama aliyempa mimba ni mwanafunzi mwenzake hapo you might have an argument na sidhani kama hawa wanashikwa....Mpaka sasa sijapata kujua kuwa kifungu cha 60 A(3) cha Education Act kinachowatia hatiani wanaowapa mimba wanafunzi kama kinafanya kazi.
Kwahio tuwafunge au tuwaache bila kuwa na skills zozote..., huoni hapo tutakuwa kama taifa ndio tunapoteza ? (kuwa na kina mama wajao wenye watoto bila kuwa na skills zozote (huo ni mzigo kwa taifa) ambao wote tutaulipiaKuruhusu wanafunzi kurudi masomoni baada ya kupata mimba na kujifungua ni sawa na kuruhusu washiriki matendo ya ngono hata kabla ya kumaliza shule.
Hakuna anayehararisha ngono..., sababu tunatibu kipindupindu kikitokea haimaanishi tunahararisha watu kuwa wachafuSasa kama ndio hivi mbona kama mnahalalisha ngono kwa wanafunzi mnawakamata wanaoshiriki nao ngono?
Je, hamjui madhara ya mlichokihararisha? DC Kaliua aagiza mwalimu wa sekondari akamatwe
Nimesoma msg za wengi lkn hakuna aliyeweza pingua hoja yako.Mpaka sasa sijapata kujua kuwa kifungu cha 60 A(3) cha Education Act kinachowatia hatiani wanaowapa mimba wanafunzi kama kinafanya kazi.
Kuruhusu wanafunzi kurudi masomoni baada ya kupata mimba na kujifungua ni sawa na kuruhusu washiriki matendo ya ngono hata kabla ya kumaliza shule.
Sasa kama ndio hivi mbona kama mnahalalisha ngono kwa wanafunzi mnawakamata wanaoshiriki nao ngono?
Je, hamjui madhara ya mlichokihararisha? DC Kaliua aagiza mwalimu wa sekondari akamatwe
Tangu mjomba wako alivyo kataliwa kiwafanyia ubaya watoto wa kike wanaopata ujauzito naona umechanganyikiwaMpaka sasa sijapata kujua kuwa kifungu cha 60 A(3) cha Education Act kinachowatia hatiani wanaowapa mimba wanafunzi kama kinafanya kazi.
Kuruhusu wanafunzi kurudi masomoni baada ya kupata mimba na kujifungua ni sawa na kuruhusu washiriki matendo ya ngono hata kabla ya kumaliza shule.
Sasa kama ndio hivi mbona kama mnahalalisha ngono kwa wanafunzi mnawakamata wanaoshiriki nao ngono?
Je, hamjui madhara ya mlichokihararisha? DC Kaliua aagiza mwalimu wa sekondari akamatwe
Huyo ni chawa wa jiwe hivyo bado ana hasira sanaUkija kuwa mzazi utaelewa tu!!
Sasa sijui ulitaka mabinti wasiruhusiwe kusoma kabisa...
Ni 0 brainMtoa mada una UELEWA MDOGO juu ya dhana nzima ya KURUHUSU NGONO.
Ahsante.
Akili za mwendazake na wafuasi wake ziko chini ya wastaniUkija kuwa mzazi utaelewa tu!!
Sasa sijui ulitaka mabinti wasiruhusiwe kusoma kabisa...