Tunajisifu ku-import bidhaa za thamani kubwa kutoka Ulaya na Marekani badala ya kujisufu kwa ku-export bidhaa nyingi zaidi zaidi kwenda nje ya nchi

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,018
144,377
Tukubali tu sisi waafrika ni tuna tatizo kuanzia akili zetu,n.k ukilinganisha na wenzetu wenye rangi nyeupe wanaotumia vizuri maliasili zao na akili zao kupitia teknolijia walizonazo kujiletea maendeleo tofauti kabisa na sisi waafrika.

Moja ya sababu kwanini sisi ni masikini ni kwasababu hatuzalishi katika nchi zetu(bidhaa za viwandani,kilimo,n.k) na badala yake tunaaagiza zaidi bidhaa kutoka nje tena bidhaa ambazo zinauzwa kwa bei ghali na bado tunaona ni ufahari. Hakika Inasikitisha sana!

Yaani badala ya sisi kujisifu kuongeza exportation ya bidhaa zinazozalisha katika nchi zetu na zilizoongezewa thamani(hasa bidhaa zitokanazo na mazao ya kilimo na mifugo pamoja na madini), sisi tunaona ufahari ku-import bidhaa za thamani kubwa kutoka nje ya nchi hasa ulaya na Marekani!

Kiongozi makini na mwenye vision wa nchi ya kiafrika ni yule ambae atajivuna kwa kuwa na rekodi ya kuongeza uzalishaji wa bidhaa zitokanazo na mazao ya kilimo, mifugo, uvuvi na madini na ambazo zinauzwa nje ya nchi zikiwa processed(zimeongezewa thamani) tangu aingie ofisini.

Badala yake,kiongozi wa kiafrika anakuwa busy na anatumia nguvu kubwa kuitangaza bidhaa alioinunua kutoka Ulaya(anakuwa-bila kujijua- manager masoko wa bidhaa za makampuni ya kibeberu) na wakati huo huo, analaumu hao wanaoitwa mabeberu kwa mambo mengi tu.

Mabeberu hawa wanaposhiriki kutangaza kuwa nchi fulani kutoka Afrika imekuwa ya kwanza kununua bidhaa fulani kutoka kwao sio kama wanawasifu, bali wanatumia fursa hiyo kujitangaza kibiashara na kuwafanye mshindane kuagiza bidhaa zao.

Kwa lugha nyingine,tunaona ufahari kutumia kodi zetu kuagiza bidhaa ghali kutoka nje na hivyo kuwatengeneza ajira watu wa mataifa mengine kuliko kutumia fedha zetu kuongeza uzalisha wa bidhaa humu ndani ya nchi na kuzi-process ili kuziongezea thamani kabla ya kuziuza na tukawa tumetengeneza ajira kwa watu wetu na pia tukaingiza fedha za kigeni na kuimarisha currency zetu.

Kwangu mimi, kiongozi bora wa nchi zetu za kiafrika ni yule ambae angejivuna kwa kuwa na rekodi ya kuongeza uzalishaji katika nchi yake na pia exportation ya bidhaa ambazo ni processed na kisha fedha zinazopatikana kutokana na kuongeza uzalishaji na exportation kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi yake zikiwemo ndege,n.k na si kukopa mpaka kupitiliza na kukamua wananchi wake kodi kubwa zisizoendana na vipato vya watu wake huku akiathiri vipato na mitaji yao.

Vile vile tutambue watu wetu wakiwa na ajira kupitia kilimo processing industries, uchimbaji wa madini,n.k, uchumi ukaaimarika na vipato vya watu vikaongezeka, mbali na kuongeza mapato ya nchi kupitia shughuli hizo za uzalishaji na exportation,pia wataongeza mapato ya nchi kupita PAYE,na hata hizi ndege nazo pia ziapata abira kwani watu wengi zaidi wata-afford kusafiri na nazo na hata SGR itapata mizigo zaidi ya kubeba na kutengeneza faida.

No wonder Wachina wanatamani ziwa Victoria,sisi tunatamani ku-import ndege za kisasa kutoka Ulaya na Marekani.Tumelogwa!

Waafrika tumekosa viongozi wenye vision na wanaolewa kwanini nchi zetu ni masikini na wanaotakiwa wajue wafanye nini kututoa hapa tulipo.
 
Mkuu unandika usiku wote huu. Nimeielewa hoja katika andika lako ni kweli ukiwauliza vijana wengi sasa hivi kipaumbele chao nini kati ya ajira na ndege lazima watakuambia ni ajira.
Watu kutokuwa na ajira tafsiri yake ni nguvu kazi ya vijawana hawa kutotumika katika uzalishaji na kama hutazlishi vya kutosha ,hatuwezi kukuza pato la Taifa.
 
Tukubali tu sisi waafrika ni tuna tatizo kuanzia akili zetu,n.k ukilinganisha na wenzetu wenye rangi nyeupe wanaotumia vizuri maliasili zao na akili zao kupitia teknolijia walizonazo kujiletea maendeleo tofauti kabisa na sisi waafrika.

Moja ya sababu kwanini sisi ni masikini ni kwasababu hatuzalishi katika nchi zetu(bidhaa za viwandani,kilimo,n.k) na badala yake tunaaagiza zaidi bidhaa kutoka nje tena bidhaa ambazo zinauzwa kwa bei ghali na bado tunaona ni ufahari. Hakika Inasikitisha sana!

Yaani badala ya sisi kujisifu kuongeza exportation ya bidhaa zinazozalisha katika nchi zetu na zilizoongezewa thamani(hasa bidhaa zitokanazo na mazao ya kilimo na mifugo pamoja na madini), sisi tunaona ufahari ku-import bidhaa za thamani kubwa kutoka nje ya nchi hasa ulaya na Marekani!

Kiongozi makini na mwenye vision wa nchi ya kiafrika ni yule ambae atajivuna kwa kuwa na rekodi ya kuongeza uzalishaji wa bidhaa zitokanazo na mazao ya kilimo, mifugo, uvuvi na madini na ambazo zinauzwa nje ya nchi zikiwa processed(zimeongezewa thamani) tangu aingie ofisini.

Badala yake,kiongozi wa kiafrika anakuwa busy na anatumia nguvu kubwa kuitangaza bidhaa alioinunua kutoka Ulaya(anakuwa-bila kujijua- manager masoko wa bidhaa za makampuni ya kibeberu) na wakati huo huo, analaumu hao wanaoitwa mabeberu kwa mambo mengi tu.

Mabeberu hawa wanaposhiriki kutangaza kuwa nchi fulani kutoka Afrika imekuwa ya kwanza kununua bidhaa fulani kutoka kwao sio kama wanawasifu, bali wanatumia fursa hiyo kujitangaza kibiashara na kuwafanye mshindane kuagiza bidhaa zao.

Kwa lugha nyingine,tunaona ufahari kutumia kodi zetu kuagiza bidhaa ghali kutoka nje na hivyo kuwatengeneza ajira watu wa mataifa mengine kuliko kutumia fedha zetu kuongeza uzalisha wa bidhaa humu ndani ya nchi na kuzi-process ili kuziongezea thamani kabla ya kuziuza na tukawa tumetengeneza ajira kwa watu wetu na pia tukaingiza fedha za kigeni na kuimarisha currency zetu.


Kwangu mimi, kiongozi bora wa nchi zetu za kiafrika ni yule ambae angejivuna kwa kuwa na rekodi ya kuongeza exportation ya bidhaa kutoka nchini mwake(bidhaa zilizongozewa thamani) na kisha kutumia kiasi cha fedha zinazopatikana kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi yake.

Waafrika tumekosa viongozi wenye vision na wanaolewa kwanini nchi zetu ni masikini na wanaotakiwa wajue wafanye nini kututoa hapa tulipo.
Best article of the year! Refine it and post again and again!

Siyo kwamba napinga uagizaji wa ndege, tunahitaji usafiri wa ndege vilevile ili kukuza export oriented economy
 
Halafu wanashangaa thamani ya shilingi kuporomoka sana kulinganisha na dola ya kimarekani. Maana mwendo ni kuwalipa wakandarasi wageni wa kuunda ndege, ujenzi SGR reli, Stiegler Gorge Rufiji, madaraja na njia nane wote kwa dola ya Marekani.

Miradi yote mikubwa inafanyika muda mmoja na wakandarasi wageni hulipwa kwa fedha ya kigeni ingawa serikali inasema miradi hiyo inatumia 'fedha zetu' za ndani ambazo siyo shillingi zinazokusanywa TRA kupitia kodi ukweli ni dola za Marekani.
 
Halafu wanashangaa thamani ya shilingi kuporomoka sana kulinganisha na dola ya kimarekani. Maana mwendo ni kuwalipa wakandarasi wageni wa kuunda ndege, ujenzi SGR reli, Stiegler Gorge Rufiji, madaraja na njia nane wote kwa dola ya Marekani.

Miradi yote mikubwa inafanyika muda mmoja na wakandarasi wageni hulipwa kwa fedha ya kigeni ingawa serikali inasema miradi hiyo inatumia 'fedha zetu' za ndani ambazo siyo shillingi zinazokusanywa TRA kupitia kodi ukweli ni dola za Marekani.
Hatuelewi tunachokifanya.Tunadhani wachina,watu wa Vietnam,Malaysia na wengineo walipiga hatua kwa ku-import zaidi kuliko ku-export wanavyozalisha katika nchi zao.

No wonder hawamuelewi Zitto anaepigania chuma kutoka Leganga na Mchuchuma ndio itumike kujenga SGR yetu.
 
Mkuu umeongea madini matupu, huwa najiuliza kwann tuimport karatasi, peseli,peni nk. hivi ni kweli hivi viwanda ni aghari sana kiasi kwamba nchi 2 au 3 zikiungana/zikishirikiana haziwezi kuwa na mtaji wa kuwa na likiwanda limoja likubwa likatuhudumia wananchi wa hizi nchi 2 au 3?
 
Kama unajiamini ulichoandika ungetaja hiyo bidhaa tuu vinginevyo umeandika majungu na watu ndo washanunua ndege yao na vichwa vya treni na mabehewa yake ya mwendo kasi yatanunuliwa pia jiandae kupanda tuu kama si wewe basi ndugu zako. Roho kwatuuuuuu.
 
Jinamizi la Airbus 220-300 linakutesa usiku huu.
Pole sana.Hiyo Airbus faida kubwa inaenda kwa mabeberu wakati wewe ungeweza kuitumia sehemu ya fedha ulionunulia hiyo ndege kutoa ruzuku kwa wakulima,ku-promote uwekezaji,ujenzi wa viwanda,n.k na kisha kuuza nje bidhaa zilizoongezewa thamani na fedha ambayo serikali ingeipata kupitia uzalishaji huo wa humu nchini ndio ingetumika kununulia hiyo ndege.

Sasa nyinyi mnakaamua watu wenu kupitia kodi kubwa,kutuongeza mishahara ya watumishi pamoja na kutwalipa haki zao,n.k alafu hiyo fedha ndio mnaenda kununulia ndege na wakati huo huo mnataka watu wenu waondokane na umasikini.

Pathetic!
 
Kama unajiamini ulichoandika ungetaja hiyo bidhaa tuu vinginevyo umeandika majungu na watu ndo washanunua ndege yao na vichwa vya treni na mabehewa yake ya mwendo kasi yatanunuliwa pia jiandae kupanda tuu kama si wewe basi ndugu zako. Roho kwatuuuuuu.
Kama hata bidhaa tunazoweza kuzalisha humu nchini na kuziongezea thamani na tukauza nje huzijui,basi hii mada haikufai.
 
Kama hata bidhaa tunazoweza kuzalisha humu nchini na kuziongezea thamani na tukauza nje huzijui,basi hii mada haikufai.
Yap. Pesa kama hizo zingeweza kuwasaidia wafanyabiashara kujenga viwanda vya Kahawa, korosho, chai, maziwa, nyama, ngozi/viatu au hata irrigations schemes na kuzalisha maelfu ya ajira.
Makampuni makubwa ya South Korea wanayaita Chaebol kama Sumsung na Hyundai yalipewa fedha na msaada mkubwa sana na serikali ili yasimame imara na kujiendesha. Ndiyo nchi huendelea hivyo. Sisi tumekalia kufanya miradi na mambo ya kung'aa(kumwekumweku) ambayo kiuchumi hayatupeleki popote pa maana.
 
Mkuu unandika usiku wote huu. Nimeielewa hoja katika andika lako ni kweli ukiwauliza vijana wengi sasa hivi kipaumbele chao nini kati ya ajira na ndege lazima watakuambia ni ajira.
We baba wa kichaga unaumia sana na awamu hii.
Pole mwaya.
 
Huu ni ushauri wa Karne.
Ninachokijua Mimi kama tunataka nchi ya viwanda ni lazima promotion iwe kwenye bidhaa zetu korosho, pamba ngozi za Ng'ombe wetu maziwa kahawa na vingine. Rais hodari some fahari kukuza au usindikaji wa kiwango cha lami cha bidhaa za ndani ili tuanze kuziuza nje.
Na huu ndio ulikuwa mtazamo wa rais wetu ila hapa katikati sijui kimempata nini ameanza kupenda mandege hayo sijui nini kimemkuta
Best article of the year! Refine it and post again and again!

Siyo kwamba napinga uagizaji wa ndege, tunahitaji usafiri wa ndege vilevile ili kukuza export oriented economy
 
Tukubali tu sisi waafrika ni tuna tatizo kuanzia akili zetu,n.k ukilinganisha na wenzetu wenye rangi nyeupe wanaotumia vizuri maliasili zao na akili zao kupitia teknolijia walizonazo kujiletea maendeleo tofauti kabisa na sisi waafrika.

Moja ya sababu kwanini sisi ni masikini ni kwasababu hatuzalishi katika nchi zetu(bidhaa za viwandani,kilimo,n.k) na badala yake tunaaagiza zaidi bidhaa kutoka nje tena bidhaa ambazo zinauzwa kwa bei ghali na bado tunaona ni ufahari. Hakika Inasikitisha sana!

Yaani badala ya sisi kujisifu kuongeza exportation ya bidhaa zinazozalisha katika nchi zetu na zilizoongezewa thamani(hasa bidhaa zitokanazo na mazao ya kilimo na mifugo pamoja na madini), sisi tunaona ufahari ku-import bidhaa za thamani kubwa kutoka nje ya nchi hasa ulaya na Marekani!

Kiongozi makini na mwenye vision wa nchi ya kiafrika ni yule ambae atajivuna kwa kuwa na rekodi ya kuongeza uzalishaji wa bidhaa zitokanazo na mazao ya kilimo, mifugo, uvuvi na madini na ambazo zinauzwa nje ya nchi zikiwa processed(zimeongezewa thamani) tangu aingie ofisini.

Badala yake,kiongozi wa kiafrika anakuwa busy na anatumia nguvu kubwa kuitangaza bidhaa alioinunua kutoka Ulaya(anakuwa-bila kujijua- manager masoko wa bidhaa za makampuni ya kibeberu) na wakati huo huo, analaumu hao wanaoitwa mabeberu kwa mambo mengi tu.

Mabeberu hawa wanaposhiriki kutangaza kuwa nchi fulani kutoka Afrika imekuwa ya kwanza kununua bidhaa fulani kutoka kwao sio kama wanawasifu, bali wanatumia fursa hiyo kujitangaza kibiashara na kuwafanye mshindane kuagiza bidhaa zao.

Kwa lugha nyingine,tunaona ufahari kutumia kodi zetu kuagiza bidhaa ghali kutoka nje na hivyo kuwatengeneza ajira watu wa mataifa mengine kuliko kutumia fedha zetu kuongeza uzalisha wa bidhaa humu ndani ya nchi na kuzi-process ili kuziongezea thamani kabla ya kuziuza na tukawa tumetengeneza ajira kwa watu wetu na pia tukaingiza fedha za kigeni na kuimarisha currency zetu.


Kwangu mimi, kiongozi bora wa nchi zetu za kiafrika ni yule ambae angejivuna kwa kuwa na rekodi ya kuongeza exportation ya bidhaa kutoka nchini mwake(bidhaa zilizongozewa thamani) na kisha kutumia kiasi cha fedha zinazopatikana kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi yake zikiwemo ndege,n.k.

Vile vile watu wetu wakiwa na ajira kupitia kilimo processing industries, uchimbaji wa madini,n.k, uchumi ukaaimarika na vipato vya watu vikaongezeka, mbali na kuongeza mapato ya nchi kupitia shughuli hizo za uzalishaji na exportation,pia wataongeza mapato ya nchi kupita PAYE,na hata hizi ndege nazo pia ziapata abira kwani watu wengi zaidi wata-afford kusafiri na nazo na hata SGR itapata mizigo zaidi ya kubeba na kutengeneza faida..

Waafrika tumekosa viongozi wenye vision na wanaolewa kwanini nchi zetu ni masikini na wanaotakiwa wajue wafanye nini kututoa hapa tulipo.
Fanya kazi wewe kwanza na thibitisha kutumia rasilimali ya muda vzr then hamasisha na wengine vivyo hivyo
 
Mleta maada umeandika jambo la msingi sana. Lakini sio tu kuuza bidhaa zitokanazo na kilimo, uvuvi, madini vikiwa processed, hapana ila pia na bidhaa za aina nyinginezo ikiwezekana kama electronic, mitambo na nk

Viongozi wetu wa afrika hawaoni mbali na wakiona mbali hawaoni njia za kufikisha nchi zao huko mbali. Ni watu wakufikiria ya leo leo tu, ya kesho yatajiseti yenyewe

Maendeleo ya nchi yoyote yako kwenye kuandaa nguvu kazi ya nchi yako. Kuwekeza katika maarifa, teknolojia. Sasa sisi utakuta bado tunahangaika vijana wengi wajue kusoma na kuandika, vijana wengi waende sekondari. Haya yalikuwa ya kuyafanyia kazi zamani sana

Kimbembe wakishajua kusoma na kuandika. Wanaenda zao kuwa machinga.

Hata miaka hii ambapo utandawazi umetawala bado tunanunua toothpick, kandambili, raba, vimashine vidogovidogo kutoka nje

Hii maana yake ni kuwa tunakosesha vijana wetu ajira na tunapoteza pesa za kigeni ambazo zingesaidia katika mambo mengine mengi

Tuko bize kuwaungisha wazungu na wachina katika biashara zao. Na tunajisifu hasa

Na mnaweza kupata kiongozi wa juu kabisa katika nchi ambaye ni mwanasayansi lakin hukuti anafanya au japo kuongelea yoyote ya maana katika mambo ya sayansi, teknolojia. Utafikiri alisomea ungwini mlimani

Hahangaiki na mlimani kwamfano kwamba wameshindwa nin na wafanye nini angalau nasisi tuweze kutengeneza vutu vyetu tuuze ndani na nje?
 
Tukubali tu sisi waafrika ni tuna tatizo kuanzia akili zetu,n.k ukilinganisha na wenzetu wenye rangi nyeupe wanaotumia vizuri maliasili zao na akili zao kupitia teknolijia walizonazo kujiletea maendeleo tofauti kabisa na sisi waafrika.

Moja ya sababu kwanini sisi ni masikini ni kwasababu hatuzalishi katika nchi zetu(bidhaa za viwandani,kilimo,n.k) na badala yake tunaaagiza zaidi bidhaa kutoka nje tena bidhaa ambazo zinauzwa kwa bei ghali na bado tunaona ni ufahari. Hakika Inasikitisha sana!

Yaani badala ya sisi kujisifu kuongeza exportation ya bidhaa zinazozalisha katika nchi zetu na zilizoongezewa thamani(hasa bidhaa zitokanazo na mazao ya kilimo na mifugo pamoja na madini), sisi tunaona ufahari ku-import bidhaa za thamani kubwa kutoka nje ya nchi hasa ulaya na Marekani!

Kiongozi makini na mwenye vision wa nchi ya kiafrika ni yule ambae atajivuna kwa kuwa na rekodi ya kuongeza uzalishaji wa bidhaa zitokanazo na mazao ya kilimo, mifugo, uvuvi na madini na ambazo zinauzwa nje ya nchi zikiwa processed(zimeongezewa thamani) tangu aingie ofisini.

Badala yake,kiongozi wa kiafrika anakuwa busy na anatumia nguvu kubwa kuitangaza bidhaa alioinunua kutoka Ulaya(anakuwa-bila kujijua- manager masoko wa bidhaa za makampuni ya kibeberu) na wakati huo huo, analaumu hao wanaoitwa mabeberu kwa mambo mengi tu.

Mabeberu hawa wanaposhiriki kutangaza kuwa nchi fulani kutoka Afrika imekuwa ya kwanza kununua bidhaa fulani kutoka kwao sio kama wanawasifu, bali wanatumia fursa hiyo kujitangaza kibiashara na kuwafanye mshindane kuagiza bidhaa zao.

Kwa lugha nyingine,tunaona ufahari kutumia kodi zetu kuagiza bidhaa ghali kutoka nje na hivyo kuwatengeneza ajira watu wa mataifa mengine kuliko kutumia fedha zetu kuongeza uzalisha wa bidhaa humu ndani ya nchi na kuzi-process ili kuziongezea thamani kabla ya kuziuza na tukawa tumetengeneza ajira kwa watu wetu na pia tukaingiza fedha za kigeni na kuimarisha currency zetu.


Kwangu mimi, kiongozi bora wa nchi zetu za kiafrika ni yule ambae angejivuna kwa kuwa na rekodi ya kuongeza exportation ya bidhaa kutoka nchini mwake(bidhaa zilizongozewa thamani) na kisha kutumia kiasi cha fedha zinazopatikana kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi yake zikiwemo ndege,n.k.

Vile vile watu wetu wakiwa na ajira kupitia kilimo processing industries, uchimbaji wa madini,n.k, uchumi ukaaimarika na vipato vya watu vikaongezeka, mbali na kuongeza mapato ya nchi kupitia shughuli hizo za uzalishaji na exportation,pia wataongeza mapato ya nchi kupita PAYE,na hata hizi ndege nazo pia ziapata abira kwani watu wengi zaidi wata-afford kusafiri na nazo na hata SGR itapata mizigo zaidi ya kubeba na kutengeneza faida..

Waafrika tumekosa viongozi wenye vision na wanaolewa kwanini nchi zetu ni masikini na wanaotakiwa wajue wafanye nini kututoa hapa tulipo.
Vilaza hawawezi kukuelewa hapa lakini thamani ya pesa yetu inazidi kuingia shimoni, nchi haiwezi kuendelea kama huexport chochote nnje kazi yako ni kununua tu, hata north korea mwenyewe alisanda kwasababu ya kuzuiwa kuuza makaa yake ya mawe nnje
 
Back
Top Bottom