Njia ya kuitoa ccm madarakani ni style iliyotumika Algeria, Misri ,Tunisia ,Libya ,Zimbabwe na Sudan hizo ndio Njia mujarabu kumtoa adui wa watanzania ccm .
Tatizo hakuna Chama Mbadala!! Sasa niambie tuiondoe CCM tuweke chama gani? Chadema??!! Kama ruzuku tu imewaishinda sembuse nchi!! Si watakopeshana raslimari zetu zote!!?? Halafu nani anaweza kutuongoza huko kwenye chama mmbadala? Mbowe, Lema, Msigwa? Hatufanyi majaribio. Tusubiri kikipatikana chama mmbadala na ninafikiri kitatoka ndani ya CCM na sivinginevyo!
Hili ni kundi la wahuni linalamba miguu na kuishia kutisha watu,ccm inaweza kutoka na nchi ikaendelea bila fujo.Kwa hiyo unashauri bila vita CCM hawawezi kutoka madarakani?
Haya maneno yalikuwapo siku zote mbona inaonekana upinzani kuna watu wa maana kama akina kafulila,na wengineo hao uliowataja bado ni hazina bora kabisa.Tatizo lako umekalilishwa mambo, ukiona hivyo hata thinking capacity yako ni ndogo.
Nilitegemea wewe unafikiri vizuri ungeleta hoja kumbe ni zero brain!!Tatizo lako umekalilishwa mambo, ukiona hivyo hata thinking capacity yako ni ndogo.
hahahahaha jomba naona umelewa amani..umechoka na ccm sasa unataka utuletee mafisadi yenu...nendeni zenu.kule..wacha ccm itawale hata. milele..kama inatuletea maendeleo tatizo lako nini...yaani shida yako.unataka zamu tu ya kula baaasi..unaona wenzio wanafaidi。ni wakati wao.wacha wafaidi lakini wanaendelea kipiga kazi sana..mtasubiri sanaWadau kwema?
Hivi wadau sisi kama binadamu wa karne ya 21 tumekubali kabisa CCM watutawale miaka 30+?Ujanja woteee tulio nao tumefeli miaka yote hiii? Kwanza naamini humu JF wapinzani ni wengi kuliko CCM, tunashindwa nini?
OK, kuna jibu moja ambalo liko popular miaka yote eti vijijini watu wengi hawajasoma wanajua bado nyerere anatawala na CCM yake,nakwambia si kweli.Nimezunguka vijiji vingi tena interior haswa wanajua Mbowe ni nani na Magufuli ni nani.
The main problem iko hapa:UCHAGUZI tunaibiwa.Tusipo kuwa makini tutakuwa ruled na CCM for another 30 years!tutakuwa ni watu wa kulalamika kimya kimya miaka yote hiii? Tazama leo tumepigwa nakos za uso huko Arumeru tumetulia tu as if we are in the 20th century. Damn!
Ajitokeze mtu hapa atuambie tunashindaje 2020 maana tunatofautiana kimawazo.Tuchukue hata awamu moja tukifeli basi warudi CCM.Ninachoamini mimi nchi ya kidemokrasia inayotawaliwa kwa miaka zaidi ya 30 na chama kimoja maana yake watu wa nchi hiyo bado ni wafungwa hawajawahi kuwa "nje ya box".
Unafikiri ni kwa nini wananchi wa marekani wanajiamini nchini kwao? Sababu wanajua mtawala atakapoleta ujinga atatoka for sure regardless of his /her political party.
Angalia sisi tulivyo waoga ni kwa sababu hatujawahi kuwajibisha utawala kwa kuweka madarakani chama kingine.Ikitokea hii utaona namna watanzania watakavyo kuwa confident.Tumekata tamaa, tumekata tamaa.Majuzi nilikuwa naongea na group la jamaa zangu fulani wanasema hata ufanyaje sa hv huwezi kubadili siasa ya CCM.
Ikishindikana kwa njia ya kura tunaweza kufanyaje? Wasomi tuambieni.Fikiria chama cha upinzani kimechukua nchi mizizi yote ya CCM toka 1970s hadi leo itakavyo wakost CCM kuing'oa kumsafishia ofisi mpinzani, CCM wakifikiria hilo wanachanganyikiwa ndio maana wanatumia nguvu kubwa.
Hivi sisi tuliopo JF,twitter, Facebook, Instagram, whatsapp etc hatuwezi kuwa chachu kwa wengine?
Ni aibu kwa kweli 30yrs+ bado tuko na chama kimoja?China wanaweza kuwa na justification ingawa ni chama kimoja leo ni second world economy.Tanzania ni economy ya ngapi? Mtu aliyekufa mwaka 80 akifufuka leo anamkuta CCM bado yupo.Tuna tabaka la vijana wengi waliosoma kuliko miaka mingine yote, tunafeli wapi? Tutafute muarobaini. Nipe mawazo yako alafu niambie hapa wewe ni MPINZANI au CCM niweke kura yako.
Tumechoka na CCM.
hahahaha mafisadi mtayajua tu.. wanajificha weee sasa wameamua kujitokeza wenyewe. uzalendo unewashindaNjia ya kuitoa ccm madarakani ni style iliyotumika Algeria, Misri ,Tunisia ,Libya ,Zimbabwe na Sudan hizo ndio Njia mujarabu kumtoa adui wa watanzania ccm .
Ccm itatolewa na wananchi.Bei ya mkate , sembe,ukosefu wa ajira , sukar , mafuta ya kula n.k ndio kaburi la ccm.wala usihangaike ni suala la muda tuWadau kwema?
Hivi wadau sisi kama binadamu wa karne ya 21 tumekubali kabisa CCM watutawale miaka 30+?Ujanja woteee tulio nao tumefeli miaka yote hiii? Kwanza naamini humu JF wapinzani ni wengi kuliko CCM, tunashindwa nini?
OK, kuna jibu moja ambalo liko popular miaka yote eti vijijini watu wengi hawajasoma wanajua bado nyerere anatawala na CCM yake,nakwambia si kweli.Nimezunguka vijiji vingi tena interior haswa wanajua Mbowe ni nani na Magufuli ni nani.
The main problem iko hapa:UCHAGUZI tunaibiwa.Tusipo kuwa makini tutakuwa ruled na CCM for another 30 years!tutakuwa ni watu wa kulalamika kimya kimya miaka yote hiii? Tazama leo tumepigwa nakos za uso huko Arumeru tumetulia tu as if we are in the 20th century. Damn!
Ajitokeze mtu hapa atuambie tunashindaje 2020 maana tunatofautiana kimawazo.Tuchukue hata awamu moja tukifeli basi warudi CCM.Ninachoamini mimi nchi ya kidemokrasia inayotawaliwa kwa miaka zaidi ya 30 na chama kimoja maana yake watu wa nchi hiyo bado ni wafungwa hawajawahi kuwa "nje ya box".
Unafikiri ni kwa nini wananchi wa marekani wanajiamini nchini kwao? Sababu wanajua mtawala atakapoleta ujinga atatoka for sure regardless of his /her political party.
Angalia sisi tulivyo waoga ni kwa sababu hatujawahi kuwajibisha utawala kwa kuweka madarakani chama kingine.Ikitokea hii utaona namna watanzania watakavyo kuwa confident.Tumekata tamaa, tumekata tamaa.Majuzi nilikuwa naongea na group la jamaa zangu fulani wanasema hata ufanyaje sa hv huwezi kubadili siasa ya CCM.
Ikishindikana kwa njia ya kura tunaweza kufanyaje? Wasomi tuambieni.Fikiria chama cha upinzani kimechukua nchi mizizi yote ya CCM toka 1970s hadi leo itakavyo wakost CCM kuing'oa kumsafishia ofisi mpinzani, CCM wakifikiria hilo wanachanganyikiwa ndio maana wanatumia nguvu kubwa.
Hivi sisi tuliopo JF,twitter, Facebook, Instagram, whatsapp etc hatuwezi kuwa chachu kwa wengine?
Ni aibu kwa kweli 30yrs+ bado tuko na chama kimoja?China wanaweza kuwa na justification ingawa ni chama kimoja leo ni second world economy.Tanzania ni economy ya ngapi? Mtu aliyekufa mwaka 80 akifufuka leo anamkuta CCM bado yupo.Tuna tabaka la vijana wengi waliosoma kuliko miaka mingine yote, tunafeli wapi? Tutafute muarobaini. Nipe mawazo yako alafu niambie hapa wewe ni MPINZANI au CCM niweke kura yako.
Tumechoka na CCM.
Ndio maana mie naona hata kubadilisha chama bado hakutakuwa ndio solution.Akili mgando bado ni tatizo,bado hatujui kwamba sisi wanainchi ndio tunawajibu wakuwaambia watawala nini tunataka. Frikra za kwamba watawala ndio wanatuamulia kila kitu ndio mana tunaona haya tunayoyaona.
Unasema watu wanaigiza wakati wanaipigia hadi kura,ingekuwa kwenye uchaguzi hawaipigii kura hapo ndio tungeongea kuhusu kuigiza.Mkuu ccm ikiwa madarakani watu wataigiza wanaipenda, kama ilivyokuwa Mugabe huko Zimbabwe, alipokuwa madarakani kulikuwa na watu wanamshabikia vibaya sana, ilipofika siku ya yeye kutolewa madarakani washabiki wake wakapotea ghafla.
Unasema watu wanaigiza wakati wanaipigia hadi kura,ingekuwa kwenye uchaguzi hawaipigii kura hapo ndio tungeongea kuhusu kuigiza.
You have to be risk taker first!.Wadau kwema?
Hivi wadau sisi kama binadamu wa karne ya 21 tumekubali kabisa CCM watutawale miaka 30+?Ujanja woteee tulio nao tumefeli miaka yote hiii? Kwanza naamini humu JF wapinzani ni wengi kuliko CCM, tunashindwa nini?
OK, kuna jibu moja ambalo liko popular miaka yote eti vijijini watu wengi hawajasoma wanajua bado nyerere anatawala na CCM yake,nakwambia si kweli.Nimezunguka vijiji vingi tena interior haswa wanajua Mbowe ni nani na Magufuli ni nani.
The main problem iko hapa:UCHAGUZI tunaibiwa.Tusipo kuwa makini tutakuwa ruled na CCM for another 30 years!tutakuwa ni watu wa kulalamika kimya kimya miaka yote hiii? Tazama leo tumepigwa nakos za uso huko Arumeru tumetulia tu as if we are in the 20th century. Damn!
Ajitokeze mtu hapa atuambie tunashindaje 2020 maana tunatofautiana kimawazo.Tuchukue hata awamu moja tukifeli basi warudi CCM.Ninachoamini mimi nchi ya kidemokrasia inayotawaliwa kwa miaka zaidi ya 30 na chama kimoja maana yake watu wa nchi hiyo bado ni wafungwa hawajawahi kuwa "nje ya box".
Unafikiri ni kwa nini wananchi wa marekani wanajiamini nchini kwao? Sababu wanajua mtawala atakapoleta ujinga atatoka for sure regardless of his /her political party.
Angalia sisi tulivyo waoga ni kwa sababu hatujawahi kuwajibisha utawala kwa kuweka madarakani chama kingine.Ikitokea hii utaona namna watanzania watakavyo kuwa confident.Tumekata tamaa, tumekata tamaa.Majuzi nilikuwa naongea na group la jamaa zangu fulani wanasema hata ufanyaje sa hv huwezi kubadili siasa ya CCM.
Ikishindikana kwa njia ya kura tunaweza kufanyaje? Wasomi tuambieni.Fikiria chama cha upinzani kimechukua nchi mizizi yote ya CCM toka 1970s hadi leo itakavyo wakost CCM kuing'oa kumsafishia ofisi mpinzani, CCM wakifikiria hilo wanachanganyikiwa ndio maana wanatumia nguvu kubwa.
Hivi sisi tuliopo JF,twitter, Facebook, Instagram, whatsapp etc hatuwezi kuwa chachu kwa wengine?
Ni aibu kwa kweli 30yrs+ bado tuko na chama kimoja?China wanaweza kuwa na justification ingawa ni chama kimoja leo ni second world economy.Tanzania ni economy ya ngapi? Mtu aliyekufa mwaka 80 akifufuka leo anamkuta CCM bado yupo.Tuna tabaka la vijana wengi waliosoma kuliko miaka mingine yote, tunafeli wapi? Tutafute muarobaini. Nipe mawazo yako alafu niambie hapa wewe ni MPINZANI au CCM niweke kura yako.
Tumechoka na CCM.
Laki moja wote wa nini?, hata hamsini hawaishi kabla vijana wakazi hawajatoroka camp kuja kuonyesha yaliyojaa moyoni kwa matendo!.kwanza tuondowe woga maana woga ndio adui yetu mkubwa. ccm hakuna anaye wapenda zaidi ya wale wanao linda kazi zao na wale wanao ishi kwa kutegemea huruma za watawala. kuiondoa ccm ni kazi rahisi sana ni kutafuta watu kama laki moja tu ambao wapo tayari kufia nchi wakidai tume huru ya uchaguzi kwa garama yoyote. tume huru ikipatikana haki ccm hata sekunde hawachukuwi.
Kujadili kuitoa Ccm Mamlakani ni sawa na kuchezea Amani kwenye Tundu la choo
Akili za kula viporo vya waliDawa ni kuunda vikundi vya waasi na ugaidi. Hapo serikali itageuka na kuwa "sikivu"
Fanya investigation sasa mwenyewe unataka nani akufanyie?We amani unaitafsiri vipi? Unajua watu wangapi wanakufa without any record au investigation?Is that peace to you?