happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,394
vijana niliongea nao na kufungua mawazo upande wao ili wapendekeze nini wanachoweza kufanya kufanya, amini usiamini vijana wale wamepotea na sijui walikohamia.
Safi sana JEKI. Sasa achana na hao wa kijiweni njoo kwetu sisi wa JF .... tunahitaji project za uhakika na tunakuhakikishia tutazifanya na kuacha kabisa kuwaza malove davi.... Haya sasa mwaga Sera.
ulianza vizuri thread yako lakini umenichefuwa kuja kufanya sample mmu na hao watoto wenzako mtaani.
kwanza ni takwimu zipi umetumia kujuwa mmu ndio lina wachangiaji wengi? au wewe ndio mpenzi wa mmu?
ungekuwa una adabu ningeshushia nondo kutokana na hoja yako lakini style yetu jf kila mtu anastahili kujibiwa according to ur approach, ni hivi hata New York kazi za kijingajinga ni za wajingawajinga wahamiaji na siyo za watoto mjini born here here.
Dar es salaam ni jiji ambalo unaweza kuishi hata kwa upambe tu na mambo safi na Heineken inanyweka kama kawa. wanyamwezi wana watoto wakali mtaani unataka uwafanyishe biashara ya harawa? kuuza mabarafu? umekuja na mbio za mwenge nini bro?
Ahahahahahaha!! Dar city center.
Naona tatizo kwenye uhamasishaji. Wazo zuri ila limeanza vibaya
happiness win, wa JF siwawezi wanahitaji miradi ya mabilioni, hao wa kuuza ubuyu na vitumbua mtaani ndo size yangu, huku JF kila mtu mjuaji, si umeona walivyochangia post yangu.Safi sana JEKI. Sasa achana na hao wa kijiweni njoo kwetu sisi wa JF .... tunahitaji project za uhakika na tunakuhakikishia tutazifanya na kuacha kabisa kuwaza malove davi.... Haya sasa mwaga Sera.
inategemeana na ulivyowatongoza yani hapo ndio tatizo kama umeonyesha we ndo utafaidi kuliko wao hapo ni ngumu watu kukubaliana na wewe....
happiness win, wa JF siwawezi wanahitaji miradi ya mabilioni, hao wa kuuza ubuyu na vitumbua mtaani ndo size yangu, huku JF kila mtu mjuaji, si umeona walivyochangia post yangu.
kama mimi hawakunielewa basi hakuna mtu wanaweza kumuelewa, nilitumia mbinu za kisasa kabisa, ikiwa na kuwahakikishia hakuna kijana tapata tabu akiwa na bidiii, hela ya sigara nayo nikawaambia wavuta sigara sasa mambo ya kugongea sigara baaaasi, lakini wapi.