comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,951
TISS imebadilika. Sio lazima uone. Huko maofisini kwenu wamejaa na hamjuani. Jihadharini
Mmmaa!!! wacha bana!!
TISS imebadilika. Sio lazima uone. Huko maofisini kwenu wamejaa na hamjuani. Jihadharini
Who prepared those docs?Up-to-date (2012) docs have revealed that the Pakistan's ISI is currently the best intelligence agency in the world followed by CIA.
Walienda kumchukuwa na kumuuwa sio Osama ni uzushi tuu alieuliwa ni baba wa mfanyabiashara maarufu wa magari Dubai wacha kuamini uwongo wa muamericaMbona wamerakani walienda kumchukua Osama Bin Laden na kumuua bila ya wao kujua??? Je CIA taarifa walizipata wapi? Hebu jifunze kuunganisha dots bana!