Hapo ndo maana inakua bora kununua mpya mana ukiweka kioo cha mchina kwenye tv kama ya lg au sony quality inapungua sana hata kama hiko kioo ni hd maana hd ya mchina sio sawa na hd ya hao jamaaNa huo ndio ukweli, M-korea hetengenezi parts, anaunda complete, mchina ndio anatengeneza parts kwa ajili ya repair
ukipata parts ya mkorea ujue kilitoka katika Tv OG, sio kiwandani
Yah kiwandani wanazalisha tu tv complete spea za vioo hawana ndo mana kama tv ina warranty ikifa kioo ukiwapelekea wanakupa tu tv mpyaNa huo ndio ukweli, M-korea (hata mjapani) hetengenezi parts, anaunda complete, mchina ndio anatengeneza parts kwa ajili ya repair
ukipata parts ya mkorea ujue kilitoka katika Tv OG, sio kiwandani
kabisaYah kiwandani wanazalisha tu tv complete spea za vioo hawana ndo mana kama tv ina warranty ikifa kioo ukiwapelekea wanakupa tu tv mpya
nimekuuliza uweke more elaborations kwa wenye tv za kichina kama aborder wana option gani wewe umerudi na kejeli, nikwambie tu last year nilitembelea shirika la UNHCR kibondo na moja ya tv zilizokuwamo ni aborder, na kasi tv za kichina zinazouzika sana kwasasa ni hizo takataka kama aborder,toshiba,starx na rising na moja yasababu inayofanya ziuzike apart from bei ni uimara hasa izi zilizokuja na double screen vijijini huku ndio znapendwa balaa hzo 4k watu watanza kuzielewa kama dj murphy ataanza kutoa blueray disk na startimes wakiacha kurusha huduma za SD nakubaki na full hd pekee! kama kweli mpo serious na hii biashara yakubadili vioo angalieni nikwa namna gani mnaweza kuwasaidia hawa watu ndani ya miaka mi5 ijayo hili ndio litakua soko kubwa.
Acha udalali wa kishamba, juzi nimebadili Sony nchi 32 kwa laki mbili Tu hapo kwa waganda, wewe unaweka laki cha juu.
nimekuuliza uweke more elaborations kwa wenye tv za kichina kama aborder wana option gani wewe umerudi na kejeli, nikwambie tu last year nilitembelea shirika la UNHCR kibondo na moja ya tv zilizokuwamo ni aborder, na kasi tv za kichina zinazouzika sana kwasasa ni hizo takataka kama aborder,toshiba,starx na rising na moja yasababu inayofanya ziuzike apart from bei ni uimara hasa izi zilizokuja na double screen vijijini huku ndio znapendwa balaa hzo 4k watu watanza kuzielewa kama dj murphy ataanza kutoa blueray disk na startimes wakiacha kurusha huduma za SD nakubaki na full hd pekee! kama kweli mpo serious na hii biashara yakubadili vioo angalieni nikwa namna gani mnaweza kuwasaidia hawa watu ndani ya miaka mi5 ijayo hili ndio litakua soko kubwa.










Hisense ni fake??? utakuwa na uwalakini wewe fundiTV original sony,Samsung, lg ,Philip inch 32 unaweza kunipa bei yake? Wew unajua bei ya kioo, na risk yake kusafirisha? Kioo kina bei zaid ya TV worldwide
Sent using Jamii Forums mobile app
More elaborations please, Hizi bei ni pamoja na TV Za kichina kama aborder maana nilinunua yangu dukani nchi 32 kwa shillingi 290,000/= sasa iweje niibadilishie kioo tu kwa laki 3.
Nipe fact mkuu acha mbwembwe..May 3 inshallah hio kontena itakuwa ktk land ya Tanzania nashushia Znzbar napakua mzigo kuleta Dar humo kuna item km item na kuna accessories za TV from Scandinavian countries..Naomba uthibitishe kauli zako hapo juu ili twende sawa..udalali wangu, hizo kauli zako hapo juu nithibitishie hapa..ili twende sawa sitaki porojoKaka mimi nimekuwa fundi TV toka 1994,nna nnajua bei na disply kwani China naenda na nnajua bei zake!nna ni mkongwe kwenye TV na simu nilianza fundisha watu juu ya ufundi wa Simu na Flat TV kabla ya VETA kuona umuhimu wake mpaka leo!! Hizo disply unazouza hapa ni fake na wewe ni dalali....... mtu akileta TV unaenda kutafuta Tcon au disply etc unakuja iweka.Sisi ndo tulikuwa washauri wa KVD wakati anataka fungua duka la spear(RIP) na pia City phones,SAPNA na Fredom Electronics! Atupost kwa kuwa tunapost....Tunapost kwa sababu tunajua Electronics na IT na tunajua hapa Tanzania nani fundi nani mbadilisha cover nani ajui! Ila thanks TCRA july 2020 watu kama nyinyi mtapotea milele hapa Tanzania
Oyaa me nina Samsung curve 49 ina msitari katikati naweza pata replacment?