hasason
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 1,648
- 1,543
Habari wana jf.
Kampuni ya TAMU BEEF Tanzania ni company inayohusika na mazao ya nyama ikiwemo nyama iliyokatwakatwa tayari, nyama iliyosagwa na fillet za ng'ombe.
Kampuni inaanda nyama katika hali ya usafi na tunapaki na kusambaza mahotelini na kwenye supermarket kwa bei nzuri kabisa.
Tupo Mwanza pia tunapokea orders maeneo mbalimbali Tanzania.
Nyote mnakaribishwa.
Kampuni ya TAMU BEEF Tanzania ni company inayohusika na mazao ya nyama ikiwemo nyama iliyokatwakatwa tayari, nyama iliyosagwa na fillet za ng'ombe.
Kampuni inaanda nyama katika hali ya usafi na tunapaki na kusambaza mahotelini na kwenye supermarket kwa bei nzuri kabisa.
Tupo Mwanza pia tunapokea orders maeneo mbalimbali Tanzania.
Nyote mnakaribishwa.