Tunaelekea wapi?

Hacra My foot!

Hivi nyamayao huyo sisy wetu kibody yukoje? Ameshindwa hata kujitutumua akashika zile balls akavuta? Napandwa na hasira kadri ninavyozidiisoma hii thread- ngoja nipumzike kwanza

MJ1 nilikuwambaiga kuhusu sis wangu wa toka nikutoke, nae yupo nai kukamilisha mambo yake ya kuhamishia watoto wake huko waliko, nae alimuuliza swali hilo hilo alimwambia"wewe mjinga sana unalia nini unainamishwa unainama tu ulishindwa kubembea na hizo naniliii zake?""..ana unene wa wastani sio wa kushindwa kukuruka, sasa cjui nae ile hali ya kumkuta mr wake pale ilimvunja joints akiwekwa hivi ye anakaa tu.....chineke ohhh.
 
Halafu wanaume wetu nanyi siku hizi hata sijui nisemeje! Imekuwa hii ndo adhabu ya kutukomoa nayo? Kitu kidogo mtu anakutigoloze kwa hasira
Shauri zenu tutakujazoea halafu mnashangaa tu siku unadhani unakomoa kumbe unatoa starehe kwa mtu usijeshangaa unaulizwa na kesho nirudie kosa?!
 
MJ1 nilikuwambaiga kuhusu sis wangu wa toka nikutoke, nae yupo nai kukamilisha mambo yake ya kuhamishia watoto wake huko waliko, nae alimuuliza swali hilo hilo alimwambia"wewe mjinga sana unalia nini unainamishwa unainama tu ulishindwa kubembea na hizo naniliii zake?""..ana unene wa wastani sio wa kushindwa kukuruka, sasa cjui nae ile hali ya kumkuta mr wake pale ilimvunja joints akiwekwa hivi ye anakaa tu.....chineke ohhh.

Ndio masikini inawezekana ni ile shock ya kugundua kuwa mr wake keshajua kila kitu. Otherwise kweli angebembea tu!!
 
Doh! Ipo kama huyu Bwan-shemeji alitamani sana kumgeuza mkewe kwa muda mrefu hakuwa kapata sababu, kweli una hasira na mtu aliyetoka nje ya ndoa yenu halafu adhabu unayompa ndio hiyo! Kama miezi tisa yote ulipona kuambukizwa (kama tayari mwenzio kaukwaa huko nje) na vile bado kabinti bikira kapo kanakusubiri unajitosa kutoa adhabu hiyo! Jamani! Tena akiwa na hali hiyo! Ama kweli hasira zinatofautiana!
 
jamani huyu sis wangu ana matatizo ya muda mrefu na mr wake imefikia mr hampi haki ya ndoa ni miezi 9
Kwa hali kama hiyo [red/bold] hapa HAMNA NDOA - Kama walifunga ndoa ya KIDINI ni muda muafaka wa kuwaona Ma-Padri/Sheikh ili kupata suluhu ya kudumu - Bila tendo la ndoa hakuna ndoa!

sasa, na mr anasema anataka kuoa tena amempata blandina binti portable na virgin sio yeye sis aliemkuta kasha2mika...

Was this not the case before their marriage - sifahamu vizuri maana ya neno "kutumika" lakini nadhani ukitizama kwa undani inawezekana dada yako "anamaliza haja zake nje" na matokeo yake mwanaume naye kaamua "kumwanga mboga"! kama inavyoonyesha hapa chini

" nilivyoona hivyo ikabidi na mie niwe na bfnd wa kukidhi haja yangu"
That is a marriage-killer! Inahitaji upako wa Roho Mtakatifu kusamehee dhambi kama hii!

"...njoo hotel ile ile na room ile ile kuna mzigo nataka kukupa coz nasafiri, nimetumia no hii coz no yangu imeji block"...sis kaenda hana ajualo kufika kaingia room, anaingia tu akashangaa mlango umefungwa kwa nguvu kushangaa mfungaji ni mume wake....ugomvi mkubwa huko room, mr akamwambia kama umekuja huku ukiwa kwenye hali hii(period) ina maana huyo mtu wako unaekujaga nae hapa unampaga mchezo mwngne, sasa na me leo utanipa kwa nguvu...alifanya ya kufanya mpaka sis alizimia(ana athma)...

Lisilowezekana kwa binadamu, kwa Mungu linawezekana - Kama dada yako na mume wake hawakuwa na utaratibu wa kwenda kwenye nyumba za IBADA, kwa uwezo wa BINADAMU ni kwamba NDOA hii imekufa na kuzikwa - Vinginevyo ni Ibada pekee itakayowanusuru

Mambo mawili

- Dada yako alishanogewa na MUME wa NJE hadi kufikia hatua ya kusahau ku-"auntheticate" sms - kabla ya "kutenda dhambi" - kwa nini hakupiga simu ya huyo mume wa nje before going all the way to the "GUEST HOUSE"?

- Mume wa Dada yako ameshapewa "tiGO" and so he thought mke wake (dada yako" is doing the same kwa huyo mme wa nje - alitaka kumkomesha and so he did - CRAZY!!!?
 
kila ugomvi unachanzo chake, na mara nyingi usipende kusikiliza upande mmoja, kwa nini usimfuate shemeji yako ukamuuliza na yeye kulikoni? sometimes waweza kuta ni kitu kidogo sana tena sana mpaka ukashangaa, kama jamaa hakumpa unyumba mkewe kwa miezi tisa yawezekana kuna kitu hapo katika tendo la ndoa walikosana jaribu kudadisi utaupata ukweli.Pengine alimtakia maneno mabaya wakati wa tendo, au nii mvivu, huwezi jua nini kilitokea. MFANO mimi hupenda sana kumfikisha mwenza wangu kwanza, namwacha kama dk 5 apumzike halafu mie ndo humaliza. hii ilikuja baada ya siku moja kmaliza kabla yake alinisema siku nzima toka that day sasa kimehamia kwake sasa akishamaliza yeye anakuwa hoi bin taaban, anaomba mchezo uahirishwe mpaka baadaye, kweli mie hujawa na hasira na mie nakasirika lkn always i try to reason kwamba after all she is my wife, she needs TLC (Tender Love "N" CARE). sasa vitu kam hivi kama si mwelewa ugomvi utaanzia hapo hapo mwanamke gani huniridhishi, ukimaliza weye tu basi hutaki tena, matusi kibao, mwishowe unaanza tafuta ka binti nje eti kakukate kiu, huko nako una end up na frustrations tu. so MUULIZE vizuri huyo your sis' aseme UKWELI


chimunguru, hiki kitu ni kigumu sana kwa upande wangu, ctaki kujua ya upande wa pili wala kama sis anasema uongo au laa, maadam familia yake(mama&baba) wameshaingilia kati bac watayamaliza wao wenyewe wakishirikiana na mwanao.....
 
chimunguru, hiki kitu ni kigumu sana kwa upande wangu, ctaki kujua ya upande wa pili wala kama sis anasema uongo au laa, maadam familia yake(mama&baba) wameshaingilia kati bac watayamaliza wao wenyewe wakishirikiana na mwanao.....

Basi hapo waamuzi ni wenyewe wawili, wasije toana roho buree
 
Hivi Tanzania hatuna washauri wa ndoa? mbona haya matukio yanazidi kila kukicha? Yule wa Mlimani- Mauki sijui yuko wapi?
 
misezi wako ni yupi?:D
halafu hongera leo hujaandika ki-blurei nimekuelewa sana:D


GOOD. hapo pengine jibu unalo tayari....usiwe unauliza mate mdomoni bana...:D
[B said:
Nyamayao[/B];804986]mr wangu nikikuambia wkend yangu ilikuwa mbaya sana .

Pole sana luv...mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe..hii na ile ya mdogo wako , inaonyesha watu wana imani sana na wewe..uko mfano wa kuigwa and a shoulder to lean on!
 
nauliza hivi, huyo mwanaume yeye alikuwa bikra wakati anamuoa huyo dada? au haki ya kutokuwa bikra wanayo wanaume tu? what an idiot he is!
 
nauliza hivi, huyo mwanaume yeye alikuwa bikra wakati anamuoa huyo dada? au haki ya kutokuwa bikra wanayo wanaume tu? what an idiot he is!
Si ajabu na kashfa zote hizo akiwa na mwenzie hamridhishi basi tu tunawafichia siri sana hawa ingawa bado wanajiona vidume!!
 
Si ajabu na kashfa zote hizo akiwa na mwenzie hamridhishi basi tu tunawafichia siri sana hawa ingawa bado wanajiona vidume!!
Hapo ndipo mkiamuaga kutudhalilisha huwa mnatupatia. Enzi hizo kuna siku nilikamata baamedi flani. Mzee mzima nilijituma mpaka tone la mwisho. Asubuhi namkatia mshiko akanambia hautoshi. Nikamwambia sina. Hahahaha! Hapo ndipo alipoifyatua hilo rungu lenu! Mshiko ungekuwa wa uhakika angenifagilia vibaya! Nyie watu nyie!
 
...nahisi akina dada wengi (kama si wote) hawajui hasira za wanaume wanapohisi wanamegewa.... Haijalishi kama huyo mwanaume naye anamega nje au la. Hivi ndivyo wanaume walivyo!! Ushauri wangu ni kuwa, mara nyingi anayelipiza kisasi (akina dada) pasi kuweka wazi uovu wa mwenzake kwanza, yeye ndio huonekana muovu mkubwa. Na kama ana plan ya kufanya hivyo, ni heri akavunja ndoa kwanza.
hapo hamna ndoa tena... kila mtu a move on!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom