snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,638
Mara Mia niwe najua sijui.Hahahaha hapo ndo utajua hujui 😅😅😅
Kuliko kujifanya sijui sijui,huku najua najua.
Hapana
Mara Mia niwe najua sijui.Hahahaha hapo ndo utajua hujui 😅😅😅
Anaedai ndoa sio sex atakuwa ana matatizo ya kimfumo 😅😅😅!!! Sex is a basic need!Yani weeee bila ile kitu hakiiii na kila mtu aende zake tu.
Sijui kama maana nyingine, well ndoa sio sex peke yake, ila ndoa isiyo na sex ipite hivi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anaedai ndoa sio sex atakuwa ana matatizo ya kimfumo 😅😅😅!!! Sex is a basic need!
Akufwee na azikwe zake 😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asituzingue uongo?
Umeshaonja kwingine ukakolezwa zaidi, hapo achana naye tu hakuna namna maana utateseka maisha yako yoteHabari.
Mimi na mpenzi wangu tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitano kama boyfriend na girlfriend (sio uchumba).
Hakuna wala 5 years sex only hai hata sex toy itachanika 😂🤣🤣🤣I am worried that there is mchepuko around the corner. It’s not easy especially for a woman to say so without a very valid reason.
Sina mtu mwingine, sijawahi pia kucheat.
khaaaaahVipi ukimgusa au kupigapiga maeneo yamsisimko napo bilabila??
Eti kibwengo, dhambi hizi jaman lolmkuu kuna muda mambo haya hutokea with no reason, utakuta mwenza anafanya kila kitu ajili yako bt hata hisia nae unakua huna...
kuna wakati wife nilikuaga namuona kama kibwengo bt baada ya kuanza kumshirikisha mungu changamoto hii ilitoweka kabisa
Nakazia hapa.....Mapema hapa hapa malizeni tatizo,kabla hamjachelewa.
Lazima hili litakua tatizo la kiroho, tazama kwa jicho hilo.
Pia kuna Janga hili.
Mawigi/nywele bandia.
Mafuta au lotion Za kisasa..
Ni chanzo kikubwa shetani hutumia kuharbu ndoa za watu kwa kuwafanya wanawake kupoteza joto na hali asili ya uke.
Mafuta paka Coconut Oil tu.
Sasa na huyo baada ya muda si atamchoka, na ataruhusiwa kuhamia kwa mwingine tena?Watu wengi sana hua wanadhani wanaume ndio tunaanza kuwakinai wapenzi wetu. Ukweli ni kwamba, wanawake hua wanaanza kukinai mapema sana!
Mwanamke mpe maximum miaka miwili baada ya hapo ni business as usual lazima mtaanza ku struggle. Na mara nyingi kama mwanamke umeshamuoa au unaishi nae, hapo ndio visingizio vya kichwa kuuma, mgongo, stress, periods ku extend kwa wiki mbili nk.
Kwa kifupi mleta mada ameshamchoka jamaa. Mi nashauri kama ana mchepuko amuache huyo mchumba ahamie kwa mchepuko ndio uwe main road.
Mkuu haya mambo yapo.Eti kibwengo, dhambi hizi jaman lol
Muangaliaji porn utamjua tu
Ahaa basi sawaHaha iko hivi porn sipend ila siku moja mtoto wa sister angu aliniomba aangalie movies kwenye laptop yangu hizi movie nilichukua folder zima kwa a friend sasa kuna moja ilikuwa imekaa kama movie ivi kwa jina, when i clicked on that name, ! damn there comes graphical content nikaifuta ile kitu ila i saw that name when its was starting, porn is not my thing mimi nataka niwe nakula mzigo mwenyewe ndio naenjoy