Tumwambie wazi bila soni, Magufuli na fao lako la kujitoa 'utaivuruga' tena nchi!

mpk

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
3,115
3,862
Serikali irudi nyuma na kuangalia maamzi yake ambayo yameiweka nchi katika hali tete. Kupiga marufuku sukari ya nje, kufungia matangazo ya bunge, kuongeza VAT kwa mizigo ya nchi jirani inayopita bandari ya Dar na kubwa zaidi kufungia vyama vya siasa kufanya mikutano. Haya ni mambo yameifanya nchi kuyumba na kuwa ktk hali amvayo hatujaizoea. Pamoja na kelele zote serikali wameziba masikio kama hawaioni hali hii!

Tukiwa kwenye mtanzuko huo serikali inaleta mswaada ambao utatuingiza kwenye sintofahamu nyingine. Fao la kujitoa limepingwa na kila mtumishi na siyo leo, vyama vya wafanyakazi vyote vimepinga wazi wazi serikali haisikii. Sasa watumishi wametishia kugoma, bado hatusikii! Ndiyo maana nikasema tusipepese macho, tuwaambie wakubwa wanaivuruga nchi yetu!
 
Serikali irudi nyuma na kuangalia maamzi yake ambayo yameiweka nchi katika hali tete. Kupiga marufuku sukari ya nje, kufungia matangazo ya bunge, kuongeza VAT kwa mizigo ya nchi jirani inayopita bandari ya Dar na kubwa zaidi kufungia vyama vya siasa kufanya mikutano. Haya ni mambo yameifanya nchi kuyumba na kuwa ktk hali amvayo hatujaizoea. Pamoja na kelele zote serikali wameziba masikio kama hawaioni hali hii!

Tukiwa kwenye mtanzuko huo serikali inaleta mswaada ambao utatuingiza kwenye sintofahamu nyingine. Fao la kujitoa limepingwa na kila mtumishi na siyo leo, vyama vya wafanyakazi vyote vimepinga wazi wazi serikali haisikii. Sasa watumishi wametishia kugoma, bado hatusikii! Ndiyo maana nikasema tusipepese macho, tuwaambie wakubwa wanaivuruga nchi yetu!


!
!
Wafanyakazi tumekuwa watumwa kwenye nchi yetu. Kwanza tunalipa kodi kubwa mno kutoka kwenye Salary bado tukija mtaani kuna mavati bado hawaridhiki wanakuja na hili . Kwa hili niko tayari kuandamana.
 
Kwanza wafanyakazi nchi hii ni wachache sana. Na kuna watanzania wengi wanaozitamani nafasi hizo za ajira. Hasira hasara. Ukisema Wa nini wenzio wanasema "nitampata lini". Goma muachishwe kazi halafu muone cha moto mtaani!!!!
 
Kwanza wafanyakazi nchi hii ni wachache sana. Na kuna watanzania wengi wanaozitamani nafasi hizo za ajira. Hasira hasara. Ukisema Wa nini wenzio wanasema "nitampata lini". Goma muachishwe kazi halafu muone cha moto mtaani!!!!
Hakuna taifa lililowahi kufukuza wafanyakazi wote kazi
 
Kwanza wafanyakazi nchi hii ni wachache sana. Na kuna watanzania wengi wanaozitamani nafasi hizo za ajira. Hasira hasara. Ukisema Wa nini wenzio wanasema "nitampata lini". Goma muachishwe kazi halafu muone cha moto mtaani!!!!
Nadhani umesahau mgomo wa madaktari ulivyopelekea vifo vya watanzania!Kwenye hili wafanyakazi wako pamoja na inagusa maslahi yao moja kwa moja
 
Wacha tuone mwisho wao...!

Ila kiuhakika Tanzania kama Taifa twpaswa tuwe na Sera ya Kitaifa ambayo Maraisi wote wajao wanapaswa wazisimamie na kuzifuata na kuachana na mwendo wa Zima moto ama funika kombe mwanaharamu apate pita.
 
Kwani hilo fao ndio linakuwaje? Naomba kwa anayejua anifafanulie japo kwa ufupi tu
Mtumishi anapokuwa kazini kuna fedha hukatwa na kuhifadhiwa kwenye mifuko ya kijamii kama NSSF. Siku ukiacha kazi kwa kuachishwa au kuacha mwenyewe unaenda kuchukua haki yako. Sasa serikali inaleta sheria kwamba huwezi kuchukua fedha hizo mpaka usitaafu au ufikishe miaka 55. Lakini kumbuka kuna watu wanafanya kazi kwa mikataba ya muda mfupi na wengine wanaamua kuacha kazi
 
Serikali irudi nyuma na kuangalia maamzi yake ambayo yameiweka nchi katika hali tete. Kupiga marufuku sukari ya nje, kufungia matangazo ya bunge, kuongeza VAT kwa mizigo ya nchi jirani inayopita bandari ya Dar na kubwa zaidi kufungia vyama vya siasa kufanya mikutano. Haya ni mambo yameifanya nchi kuyumba na kuwa ktk hali amvayo hatujaizoea. Pamoja na kelele zote serikali wameziba masikio kama hawaioni hali hii!

Tukiwa kwenye mtanzuko huo serikali inaleta mswaada ambao utatuingiza kwenye sintofahamu nyingine. Fao la kujitoa limepingwa na kila mtumishi na siyo leo, vyama vya wafanyakazi vyote vimepinga wazi wazi serikali haisikii. Sasa watumishi wametishia kugoma, bado hatusikii! Ndiyo maana nikasema tusipepese macho, tuwaambie wakubwa wanaivuruga nchi yetu!
Ni kweli ila serikali ina dalili za kufirisika. Ya zimbabwe yanakaribia.
 
SIFA ZA KAZI.
Kama unaona ni KAZI kufanya KAZI basi acha KAZI uone ilivyo KAZI kukaa bila KAZI.
 
Wafanyakazi ndo kundi pekee lisilokwepa kodi hata wakipandishiwa kodi hawawezi goma kulipa, majengo yote yanayowekezwa na NSSF, PPF, LAPF, nk ni pesa za wafanyakazi. Wanawekeza kwenye majengo wanapiga mpunga, utakapo kuja chukua hela yako unachukua ileile tu hamna hata ongezeko lolote.
Tatizo kubwa hapa ni hivi serikali ilichua hela nyingi sana hasa wakati wa kampeni za kujakikisha ccm inarudi madarakani. So hii mifuko haina hela ya kutosha by now. Serikali haijarudisha ile pesa. Waliostaafu au kuacha kazi wanarudi kuchukua chao wakajiwekezee kwny miradi mbalimbali.
So mahesabu ya haraka ni kuhakikisha watu wanawekewa mazingira magumu ya upataji wa mafao yao ili kua kukusanya hela nyingi kufidia gap ya deni la serikali
 
Back
Top Bottom