Tumuunge mkono Mkuu wa shule ya Iseke muungano Wilayani Ikungi

HOBBIES

Senior Member
Dec 29, 2011
145
17
Kwa muda mrefu mkuu huyu wa shule ya iseke muungano amekuwa katika mgogoro na diwani wa kata kutokana na juhudi mbalimbali anazofanya kuhakikisha shule inapata maendeleo ya kitaaluma amekuwa akijitahidi kuajiri waalimu wa muda kwa masomo ya sayansi ambayo yamekuwa hayana waalimu wa kutosha

Lakini amekuwa akipata vikwazo kutoka kwa diwani wa kata kwa kukataza wazazi kutoa ushirikiano kwa mkuu wa shule kiasi kwamba amekuwa akiendesha shule kwa shida sana pamoja na yote hayo viongozi wa elimu wilaya wakiongozwa na afisa elimu wamekuwa wakitoa elimu kwa wazazi juu ya umuhimu wa elimu kwa vijana wao pia umuhimu wa kuchangia mradi wa kuendeleza shule hususani ujenzi wa maabara ambao ni muhimu kwa wanafunzi wa masomo ya sayansi

Hivyo basi ni muhimu kwa jamii nzima ya kata ya iseke na wale wote ambao ni wazaliwa wa iseke kuunga mkono jitihada za mkuu huyu wa shule kwa mustakabali wa elimu kwa vijana wa kata husika pia tunaomba wazazi wawe tayari kubadilika ili kuunga mkono jitihada hizi za mkuu wa shule na sio kufanya siasa chafu za kuzuia maendeleo katika kata ya iseke Hongera mkuu wa shule kwa kusaidia shule kupata msaada wa sola pamoja na vitabu jitihada zako tunazitambua pamoja na vizingiti unavyokutana navyo kutoka kwa diwani.
 
Last edited:
Mhhhhhhh uandishi huu ni noma. A single sentence = paragraph

Kwa muda mrefu mkuu huyu wa shule ya iseke muungano amekuwa katika mgogoro na diwani wa kata kutokana na juhudi mbalimbali anazofanya kuhakikisha shule inapata maendeleo ya kitaaluma amekuwa akijitahidi kuajiri waalimu wa muda kwa masomo ya sayansi ambayo yamekuwa hayana waalimu wa kutosha lakini amekuwa akipata vikwazo kutoka kwa diwani wa kata kwa kukataza wazazi kutoa ushirikiano kwa mkuu wa shule kiasi kwamba amekuwa akiendesha shule kwa shida sana pamoja na yote hayo viongozi wa elimu wilaya wakiongozwa na afisa elimu wamekuwa wakitoa elimu kwa wazazi juu ya umuhimu wa elimu kwa vijana wao pia umuhimu wa kuchangia mradi wa kuendeleza shule hususani ujenzi wa maabara ambao ni muhimu kwa wanafunzi wa masomo ya sayansi hivyo basi ni muhimu kwa jamii nzima ya kata ya iseke na wale wote ambao ni wazaliwa wa iseke kuunga mkono jitihada za mkuu huyu wa shule kwa mustakabali wa elimu kwa vijana wa kata husika pia tunaomba wazazi wawe tayari kubadilika ili kuunga mkono jitihada hizi za mkuu wa shule bwana nkhotya na sio kufanya siasa chafu za kuzuia maendeleo katika kata ya iseke Hongera mkuu wa shule kwa kusaidia shule kupata msaada wa sola pamoja na vitabu jitihada zako tunazitambua pamoja na vizingiti unavyokutana navyo kutoka kwa diwani.
 
Elimu si bure au nmesikiaga vibaya? Nauliza tu..

ni michango kama ada,madawati nakadhalika lakini ujenzi wa majengo ya madarasa,maktaba,maabara na ofisi za waalimu nani atafanya zaidi ya wazazi wakishirikiana na serekali yao.
 
kikubwa ujumbe umefika hapa hatufanyi interview samahani lakini bro!

Kama unafundisha darasa lenye wanafunzi 40 siku zote ni kuona kwamba baada ya somo wanafunzi wote wamekuekewa, njia mojawapo ya kufanya ueleweke kiurahisi ni namna unavyojieleza na mpangilio wa paragraph.
 
Kama unafundisha darasa lenye wanafunzi 40 siku zote ni kuona kwamba baada ya somo wanafunzi wote wamekuekewa, njia mojawapo ya kufanya ueleweke kiurahisi ni namna unavyojieleza na mpangilio wa paragraph.
nimekuelewa mkuu ila nimeandika hivyo sababu ya haraka next time nitakuwa makini!
 
Na elimu yangu ya masters nilikuwa siijui wilaya hiyo
kweli kikwete aliwapenda zaidi marafiki kuliko wapiga kura
 
Natamani Kujua Mleta Post Ndiye Mkuu Wa Shule Au Laah, Pili Sijui Kama Nimesahau Ila Elimu Mmesema Ni Bure Sasa .......
 
Back
Top Bottom