connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 1,736
- 2,297
Nina wazo wandugu ikibidi tumuombe Mhe. Mkapa arudi madarakani atuongoze japo miaka mitano. Najua katiba haikatazi yeye kurudi maana hajaunganisha zaidi ya miaka 10 maadamu amepumzika miaka 10 sasa atakuja na nguvu mpya na kasi zaidi kuendeleza ya awamu ya 4.