Tumuige Maalim Seif ama Lowassa?

Tumuige Maalim Seif ama Lowassa?

THINKINGBEING

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2010
Posts
2,779
Reaction score
1,304
Kufuatia kitendo cha maalim Seif kugoma kumpa Shain mkono kuna kamtindo kalianzishwa kakupiga picha za kuigiza tukio hilo huku ikishabikiwa kuwa ni kitendo cha kishujaa.
FB_IMG_1472317527262.jpg
FB_IMG_1472317519145.jpg
 
lowassa kapunguza makali ya UKUTA..
sidhan kama kuna watu watakuwa bado na mzuka wa kuandamana..

na nnavyo mjua mtukufu, atatumia vizuri hiyo kete.
ni vigumu kukataa mkono kanisani,
Ingekuwa heri asingeenda kabisa.

viva seif viva..
 
Seif alipogoma kutoa hata mkono wa salamu wale wafia chama wa UKAWA wakasifia kwa mapambio yote ingawa tulisema si hekima. Leo kipenzi chao picha zake zinazunguka then wanapiga propaganda kuwa ana hekima sana! Hii nchi tunaiharibu wenyewe wala si zimwi la CCM! Ujinga na ushabiki unatupeleka pabaya sana.
 
kufananisha sababu za lowassa na seif ni ujinga kwani vitu hivi ni tofauti.
kule zanzibar seif kaibiwa kisha mwizi anakuja kukupa mkono lazima ukatae
magufuli amekataza maandamano huku wanaotaka kufanya hayo maandamano bado hawajafanya kwani muda ambao wamepanga kufanya bado haujafika anakupa mkono kwanini usipokee kwani baba akichukia anakwambieni leo humu ndani hamli lakini akitoka zake huko jioni anarudi na fuko la mizagazaga mnakula kwa hiyo tusubiri 1UKUTA2 UPO PALEPALE
 
Seif alipogoma kutoa hata mkono wa salamu wale wafia chama wa UKAWA wakasifia kwa mapambio yote ingawa tulisema si hekima. Leo kipenzi chao picha zake zinazunguka then wanapiga propaganda kuwa ana hekima sana! Hii nchi tunaiharibu wenyewe wala si zimwi la CCM! Ujinga na ushabiki unatupeleka pabaya sana.
Umesema neno kuu kiongozi, wapiga makofi na waimba mapambio sijui watakuja na lipi. Walisifia uamuzi wa Maalim, leo wanasifia ustaarabu na hekima za Lowassa. Poor 'mules'!!!
 
kufananisha sababu za lowassa na seif ni ujinga kwani vitu hivi ni tofauti.
kule zanzibar seif kaibiwa kisha mwizi anakuja kukupa mkono lazima ukatae
magufuli amekataza maandamano huku wanaotaka kufanya hayo maandamano bado hawajafanya kwani muda ambao wamepanga kufanya bado haujafika anakupa mkono kwanini usipokee kwani baba akichukia anakwambieni leo humu ndani hamli lakini akitoka zake huko jioni anarudi na fuko la mizagazaga mnakula kwa hiyo tusubiri 1UKUTA2 UPO PALEPALE
Okay...kumbe Lowasa alishindwa kihalali huku bara hapakuwa na wizi wa kura?
 
Seif alipogoma kutoa hata mkono wa salamu wale wafia chama wa UKAWA wakasifia kwa mapambio yote ingawa tulisema si hekima. Leo kipenzi chao picha zake zinazunguka then wanapiga propaganda kuwa ana hekima sana! Hii nchi tunaiharibu wenyewe wala si zimwi la CCM! Ujinga na ushabiki unatupeleka pabaya sana.
Mkuu uko sahihi, sasa hivi wataanza kushangilia na kusifia kitendo kile huku wakisema siasa siyo uadui wakati wiki iliyopita walimshangilia Seif kwa kukataa mkono wa Shein.

Tatizo la nchi yetu siyo CCM ni sisi wenyewe, watu wanafanya na kushabikia mambo kama wamekatwa vichwa.
 
kufananisha sababu za lowassa na seif ni ujinga kwani vitu hivi ni tofauti.
kule zanzibar seif kaibiwa kisha mwizi anakuja kukupa mkono lazima ukatae
magufuli amekataza maandamano huku wanaotaka kufanya hayo maandamano bado hawajafanya kwani muda ambao wamepanga kufanya bado haujafika anakupa mkono kwanini usipokee kwani baba akichukia anakwambieni leo humu ndani hamli lakini akitoka zake huko jioni anarudi na fuko la mizagazaga mnakula kwa hiyo tusubiri 1UKUTA2 UPO PALEPALE
Nilifikiri Lowassa naye aliibiwa ushindi.
 
Siasa sio ugomvi subiri akina Lisu wafundishwe siasa.
 
kufananisha sababu za lowassa na seif ni ujinga kwani vitu hivi ni tofauti.
kule zanzibar seif kaibiwa kisha mwizi anakuja kukupa mkono lazima ukatae
magufuli amekataza maandamano huku wanaotaka kufanya hayo maandamano bado hawajafanya kwani muda ambao wamepanga kufanya bado haujafika anakupa mkono kwanini usipokee kwani baba akichukia anakwambieni leo humu ndani hamli lakini akitoka zake huko jioni anarudi na fuko la mizagazaga mnakula kwa hiyo tusubiri 1UKUTA2 UPO PALEPALE

Umesahau kua Lowasa alijitangaza kua ameshinda. Au ndo umepigwa upofu na mahaba ya chama
 
lowassa kapunguza makali ya UKUTA..
sidhan kama kuna watu watakuwa bado na mzuka wa kuandamana..

na nnavyo mjua mtukufu, atatumia vizuri hiyo kete.
ni vigumu kukataa mkono kanisani,
Ingekuwa heri asingeenda kabisa.

viva seif viva..
Ni kinyume na uhalisia
 
Unafiki ni kuamini kuwa ilikuwa sahihi kwa Seif Sharif Hamad kukataa salam ya Dr. Ali Mohamed Shein na pia kuamini ilikuwa sahihi kwa Edward Lowassa kushiriki na kusalimiana na kuzungumza na Rais Magufuli na Comrade Kinana japo wote madai yao ni kuibiwa kura zao za Urais
 
Back
Top Bottom