Melanny
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,247
- 2,204
AsanteWeka ya tanzania
AsanteWeka ya tanzania
bongo hakuna wa kukushika course vpn inafanya location yako haipatikanNasikia kutumia VPN ni kinyume cha Sheria.
Watu wataishia kunyea ndoo
Baada ya hapo ndo utachagua vpn ya nchi gani unataka chagua uk,canada au usa ndo ziko fasta na secureAsante
Mimi nimemuignore zamani sana huyo panya bukuMbwa
Nilikuwa natuma video call imegomaKuua watu ndo mbinu ya mwisho ya viongozi waliokosa vibali machoni pa wananchi. Meko na CCM pia mmekosa kibali cha watanzania.CCM wana hofu kuu,imagine wanaua watu,wamezima whatsapp call,nasikia leo saa sita mchana bank zinapigwa pini,wamezima whatsapp call,wanazuia SMS,etc.Hii ni hofu ya kukataliwa na wananchi
Video calls ,whatsapp document ,voice tayari wamerestrict tumia proton vpnNik
Nilikuwa natuma video call imegoma
Acha kutisha watu wewe zuzu.Nasikia kutumia VPN ni kinyume cha Sheria.
Watu wataishia kunyea ndoo
Wewe matako kweli mbona tunatumia na inafanya kazi vizuriUsiwadanganye watz wasiojua mawasiliano hakuna huduma ya ufo vpn free Africa labda baadhi ya nchi za ulaya huko. Vikosi vya ulinzi na usalama viko alert kwa lolote na lazima vione viashiria vya kuleta vurugu Bado mapema na baadhi mitandao ya kijamii huwa ndiyo chanzo
Kila mmoja atimize wajibu wake wewe nenda kapige kura na wacha vikosi vya usalama vifanye kazi zake mpaka kuapishwa kwa Rais Mteule hapo November
Coward Magufuli na TCRA wamepiga 'bani' social platforms, Vodacom wameshiriki huu udhalimu, that's why hupati verification code !Naomba kujua.nimeadd numbe ili niletewe code.lakini siletewi.msaada
Install VPN haraka sana.CCM haiamini katika uhuru wa watu ndiyo maana wanazima mitandao yote na huenda wakazima internet pia.Nik
Nilikuwa natuma video call imegoma
Vip umefanikiwa?Asante
Ameongea ukweli ila ameshindwa kuwakilisha ujumbe wake vizuri.Ni kweli kuna sheria uchwara ilitungwa na CCM kukataza matumizi ya VPN Tanzania.Unapoambiwa kuwa CCM haiamini katika uhuru wa watu ni serious issueAcha kutisha watu wewe zuzu.
DuhWazee ni kweli UFO VPN inakubali now twitter yangu inafunguka safi naperuzi habari
Hatari sana mzee babaVideo calls ,whatsapp document ,voice tayari wamerestrict tumia proton vpn
Nimefanikiwa.Vip umefanikiwa?