Tumieni nafasi hii kuimaliza CCM

Tumieni nafasi hii kuimaliza CCM

kwa vile ni christmass na makanisa yatakuwa yamefurika! kweli utakuwa wakati muafaka!!japo kwa upande huo tayari cdm iko juu!

udini utakutafuna wewe na kizazi chako chote .
 
Kweli na uwe mkweli siku zote,usiwe na ndimi mbili kama mtoto wa kigoma

hakuna muha anaeitwa kabwe wala kabulu hayo ni mabembe yanayotaka waha wote tuonekane ni masnich wakati moja kati yamikoa ilioamka kiupinzani ni pamoja na kg
 
hakuna muha anaeitwa kabwe wala kabulu hayo ni mabembe yanayotaka waha wote tuonekane ni masnich wakati moja kati yamikoa ilioamka kiupinzani ni pamoja na kg

tunakushukuru sana kwa ufafanuzi wako .
 
naona makamanda wa makete wameanza kazi kwa kishindo sana !
 
Back
Top Bottom