Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,137
- 4,484
Kwa wakazi wa mikoa ya nyanda za juu kusini tumewaletea tovuti ambayo itawasaidia kuuza na kununua bidhaa yoyote bure mtandaoni.Kutangaza biashara,huduma,kazi,mazao ya chakula nk
Na hii huduma tunaitoa kwa mikoa ya nyanda za juu kusini pekee yani mbeya,iringa,njombe
sababu gani tunafanya hivi?
Tumefatilia mitandao mingine ya kuuza na kununua hapa Tanzania tumegundua kuna mapungufu makubwa
Cha kwanza ni utapeli kumekuwa na matapeli wengi sana ambao wanatangaza bidhaa kwa bei ya chini huku nia yao ikiw ni kutapeli mtu anakwambia nipo dar natuma mzigo hapa watu wengi wamelizwa
Kampuni yetu tumeliona hilo ni janga na ndo mana tunawakutanisha wanunuzi na wauzaji mtandaoni wa mikoa ya jirani hii itamsaidia mtu kununua bidhaa akishakuwa amekutana na muuzaji na kujua hiyo bidhaa ipo katika hali gani
Tatizo lingine kwenye hizo tovuti za kuuza na kununua wameshindwa kuwafikia watu wengi ni kama wamekosa bajeti ya kuhudumia jamii yote ndo mana ukiweka bidhaa wateja hamna hivyo watu wengi wamekata tamaa kutangaza kwenye hizo website wamebakia matapeli na madalali uchwara wanazungukana wao kwa wao Ila sisi kampuni yetu ya Gulio Store tumelenga kuhudumia jamii yote ya mikoa michache na bidhaa zote zinawafikia wateja .bidhaa zote tunafanya boost tuna target eneo husika na bidhaa yako itawafikia walengwa
Biashara itafanyika kwa uaminifu mkubwa hakutokuwa na sijui zile mizigo tunatuma kwa basi unaanzaje kumwamini mtu usiyemjua.
Anza leo kuitumia tovuti ya Gulio Store kuuza na kununua bidhaa yoyote bure tembelea guliostore.com
Ama pakua App yetu ya Gulio Store ipo kule playstore
Jisajili na uanze kutangaza
Na hii huduma tunaitoa kwa mikoa ya nyanda za juu kusini pekee yani mbeya,iringa,njombe
sababu gani tunafanya hivi?
Tumefatilia mitandao mingine ya kuuza na kununua hapa Tanzania tumegundua kuna mapungufu makubwa
Cha kwanza ni utapeli kumekuwa na matapeli wengi sana ambao wanatangaza bidhaa kwa bei ya chini huku nia yao ikiw ni kutapeli mtu anakwambia nipo dar natuma mzigo hapa watu wengi wamelizwa
Kampuni yetu tumeliona hilo ni janga na ndo mana tunawakutanisha wanunuzi na wauzaji mtandaoni wa mikoa ya jirani hii itamsaidia mtu kununua bidhaa akishakuwa amekutana na muuzaji na kujua hiyo bidhaa ipo katika hali gani
Tatizo lingine kwenye hizo tovuti za kuuza na kununua wameshindwa kuwafikia watu wengi ni kama wamekosa bajeti ya kuhudumia jamii yote ndo mana ukiweka bidhaa wateja hamna hivyo watu wengi wamekata tamaa kutangaza kwenye hizo website wamebakia matapeli na madalali uchwara wanazungukana wao kwa wao Ila sisi kampuni yetu ya Gulio Store tumelenga kuhudumia jamii yote ya mikoa michache na bidhaa zote zinawafikia wateja .bidhaa zote tunafanya boost tuna target eneo husika na bidhaa yako itawafikia walengwa
Biashara itafanyika kwa uaminifu mkubwa hakutokuwa na sijui zile mizigo tunatuma kwa basi unaanzaje kumwamini mtu usiyemjua.
Anza leo kuitumia tovuti ya Gulio Store kuuza na kununua bidhaa yoyote bure tembelea guliostore.com
Ama pakua App yetu ya Gulio Store ipo kule playstore
Jisajili na uanze kutangaza