Tumia this same principle to protect your temper

Tumia this same principle to protect your temper

FestoKaguo

Senior Member
Joined
Apr 1, 2022
Posts
128
Reaction score
202
Juzi nilienda kumtembelea mjomba wangu, yeye ananiita "His favorite Nephew", kwasababu ananikubali sana kuliko hata wanae.

But hiyo sio point yangu.

Mjomba wangu ana hasira za karibu (Short tempered) na yeye mwenyewe amekiri ni moja ya kitu huwa kinamponza toka zamani.

Kwa ninavyofahamu, watu wengi wenye short temper hawakuwa hivi na wengi hawapendi kuwa hivyo.

Na ukipata muda kufuatilia chain kujua source ilianzia wapi usually either ni kwenye family tree (ya kurithi) au kuna matukio yalimtokea huko nyuma mpaka moyo ukaanza kuwa mzito.

Kwa upande wa mjomba, yeye mwenyewe anajua source yake.

But then again, hiyo sio point yangu,

Point yangu ni kwamba, kama unajua una hasira za karibu, ni muhimu uweke measures kuhakikisha haitakuponza especially kwenye vitu ambacho vitakupa growt and usually growth needs you to be calm especially under pressure.

Ofcourse dealing na watu lazima utakereka, sometimes mtu anakuchokonoa makusudi alafu uki react atajifanya victim, lakini the moment ukaruhusu hasira ziku control ndo the moment you have lost.

Usiku kabla hatujalala, huwa tuna funga milango na ma geti kwa kufuli, sio kwamba tunategemea kuibiwa, ila tuna protect ourselves and our properties from any external threats.

Tumia this same principle to protect your temper.
20250321_084005.jpg
 
Ni kawaida wajomba kuwapenda wapwa(tena wa yule dada/mdogo wake wa kike wanayependana) ila ukweli ni kuwa sio kwamba anakupenda kuliko wanaye hilo sio kweli hata kidogo damu ni nzito kuliko maji, ni kwamba tu kuna treatment ambazo mjomba na mpwa huwa wana apply wao wenyewe mfano kutaniana, au mjomba kukutumia kwa ajili ya kuwapatia wanae ushauri wa kitu flan...
 
Kama una hasira za haraka hiyo post inaelekeza nini ufanye na madhara ya kuwa na hizo hasira za haraka
Hii hali nahis pia hata mimi ninayo na siipendi, ilinitokea jana kuna dogo alizingua nikajikuta nimeshikwa na hasira za ghafla nakamfata nikamkunja ila bahati nzur moyo ukapoa nikaachana nae ikabaki kurushiana tu maneno.
Baadae nikawaza ivi mimi inikuaje ishu kama ile nataka nimpige yule dogo makofi nikaona kabisa next time inabid nijicontrol na uzuri nimeshajigundua mwenyewe mapema.
 
Niliwahi kucontrol wakulima wenye hasira kali walikuwa wakiongea hadi mishipa ya shingo inavimba nilicheza nao hadi mkutano ukaisha bila vurugu na ndani ya siku tatu kero yao ikatatuliwa huko mkoan mbeya. Hizi mbinu nilipata kwa mkufunzi mmoja dr waremba kutoka kenya mwalimu wa theologi .
 
Ni kawaida wajomba kuwapenda wapwa(tena wa yule dada/mdogo wake wa kike wanayependana) ila ukweli ni kuwa sio kwamba anakupenda kuliko wanaye hilo sio kweli hata kidogo damu ni nzito kuliko maji, ni kwamba tu kuna treatment ambazo mjomba na mpwa huwa wana apply wao wenyewe mfano kutaniana, au mjomba kukutumia kwa ajili ya kuwapatia wanae ushauri wa kitu flan...
Mimi ninaamini anaweza kuwa anamkubali kuliko wanae ila sio kumpenda kuliko wanae.
 
Hii hali nahis pia hata mimi ninayo na siipendi, ilinitokea jana kuna dogo alizingua nikajikuta nimeshikwa na hasira za ghafla nakamfata nikamkunja ila bahati nzur moyo ukapoa nikaachana nae ikabaki kurushiana tu maneno.
Baadae nikawaza ivi mimi inikuaje ishu kama ile nataka nimpige yule dogo makofi nikaona kabisa next time inabid nijicontrol na uzuri nimeshajigundua mwenyewe mapema.
Mkuu ya tukio la Jana Tu ndio useme unatabia za kupata hasira mapema Kwa tukio moja tu
 
Sulemani Binadamu mwenye hekima kuliko mtu yoyote Anasema.

Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako maana hasira hukaa kifuani mwa Mpumbavu.

Muhubiri 7:9
Huyu huyu Suleiman Tena:Asiye mwepesi wa hasira ni Mwema kuliko shujaa;
Na Mtu aitawalaye roho yake kuliko Mtu atekaye mji.
 
Hasira ni mbaya sana. Nimevunja kidole hivihivi kwa jambo la kipambu kabisa.
 
Back
Top Bottom