PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Madhara ya vita nchini DRC. Watoto hawa wamekuwa displaced kutokana na fujo za vita huko Goma Mashariki mwa Congo, ambapo chanzo kikuu ni madini yaliyopo eneo hilo.
Kilichonivuta na kunisikitisha ni jinsi ambavyo dada mtu hakukubali kumwacha mdogo wake nyuma...Jiulize; Je watoto hawa wamekula chochote?...Je wana uhakika wa kukutana na wazazi wao tena?
Kilichonivuta na kunisikitisha ni jinsi ambavyo dada mtu hakukubali kumwacha mdogo wake nyuma...Jiulize; Je watoto hawa wamekula chochote?...Je wana uhakika wa kukutana na wazazi wao tena?