Wakusolve
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 506
- 798
Tumia mitandao ya kijamii kujenga thamani yako.
Vijana wengi wanatumia mitandao ya kijamii kufutilia thamani za wengine kuliko kujenga za kwao hili nao wafutiliwe na wengine wajifunze maisha kutoka kwao.
Kama kijana kitu cha kwanza badili mtazamo juu ya maisha yako,
unataka kujenga kitu gani hili wengine wajifunze kutoka kwako kumbuka Mungu anatambua thamani yako.
tumia muda mwingi mtandaoni kufutilia watu wanaofanya kile unachokifanya kwenye maisha yako au wanaokujenga kupiga hatua.
kama wewe mfano kinyozi futilia vinyozi wanzako wanafanya nini na wewe uboreshe wapi ili kuweza kukuza ujuzi wako.
Anza kupost kile unachofanya hata kama upo mtaani huna ofisi kubwa mfano kinyozi, saloon, mamantilie n.k .
post mara kwa mara bila kukata tamaa hii itajenga jina na kuibua fursa mpya.
Unapokuwa na account ya social media imejaa kazi zako inakusaidia kutengeneza kumbukumbu(documentary) ambayo unaweza kuangalia kama unapiga hatua au laa.
Pia unatengeza kitu ambacho wengine watajifunza kutoka kwako na kuamini mafanikio yanawezekana
hii tunasema unaacha legacy, unafanya watoto wako wajifunze kutoka kwako kupitia tu social media na kuwajenga zaidi.
Unaweza share mambo yako binafsi sio mbaya lakini tumia muda mwingi kushare kile unachofanya hiwe kazi, kipaji, biashara, ujuzi n.k
Vijana wengi wanatumia mitandao ya kijamii kufutilia thamani za wengine kuliko kujenga za kwao hili nao wafutiliwe na wengine wajifunze maisha kutoka kwao.
Kama kijana kitu cha kwanza badili mtazamo juu ya maisha yako,
unataka kujenga kitu gani hili wengine wajifunze kutoka kwako kumbuka Mungu anatambua thamani yako.
tumia muda mwingi mtandaoni kufutilia watu wanaofanya kile unachokifanya kwenye maisha yako au wanaokujenga kupiga hatua.
kama wewe mfano kinyozi futilia vinyozi wanzako wanafanya nini na wewe uboreshe wapi ili kuweza kukuza ujuzi wako.
Anza kupost kile unachofanya hata kama upo mtaani huna ofisi kubwa mfano kinyozi, saloon, mamantilie n.k .
post mara kwa mara bila kukata tamaa hii itajenga jina na kuibua fursa mpya.
Unapokuwa na account ya social media imejaa kazi zako inakusaidia kutengeneza kumbukumbu(documentary) ambayo unaweza kuangalia kama unapiga hatua au laa.
Pia unatengeza kitu ambacho wengine watajifunza kutoka kwako na kuamini mafanikio yanawezekana
hii tunasema unaacha legacy, unafanya watoto wako wajifunze kutoka kwako kupitia tu social media na kuwajenga zaidi.
Unaweza share mambo yako binafsi sio mbaya lakini tumia muda mwingi kushare kile unachofanya hiwe kazi, kipaji, biashara, ujuzi n.k