Hutapata na watakushangaa, hivyo vitu ni vya dili sema kama upo interest wewe m PM ndugu. Acha kubisha vitu usivyo jua oyaaaaaa, bado hujaona panya mwenye tb? bado, ajali ajali bado na kande kwenye ndege?basi kama ni za Tigo ngoja niende huko huko tigo niwaambie waniuzie hizo za namna hiyo....asante kwa information
Hutapata na watakushangaa, hivyo vitu ni vya dili sema kama upo interest wewe m PM ndugu. Acha kubisha vitu usivyo jua oyaaaaaa, bado hujaona panya mwenye tb? bado, ajali ajali bado na kande kwenye ndege?