Tumewahi kukubaliana namna hii mkuu but kuna sister na anti yetu mmoja kila akitua selo wanamtoa.
Tumewahi kukubaliana namna hii mkuu but kuna sister na anti yetu mmoja kila akitua selo wanamtoa.
Muundie mishe akae sero kama miezi kadhaa atatoka na akili kumkichwa
Wamuache wakati huo anaishi wapi au kwa nani?
Tumewahi kukubaliana namna hii mkuu but kuna sister na anti yetu mmoja kila akitua selo wanamtoa.
Undugu wa damu ungekuwa unakatizwa nadhani ningekuwa wa kwanza kuomba huduma hiyo. Wadau huyu dogo nahisi ni adhabu tuliyoachiwa na marehemu wazazi (sijui tulikosa nini).. Naomba mjaribu kunisaidia mawazo aisee.
Huyu dogo alipomaliza form 4 (kwa mbinde) hakufanya vizuri sana akajiunga na jeshi la polisi, hakumaliza akatimuliwa huko ccp. Kuna mzee mmoja rafiki wa marehemu mzee akatufanyia mpango dogo akaingia jwtz, dogo akaenda akakimbia depo aftr several weeks. Akaja home, akatafutiwa kazi tanesco akafanya kazi siku mbili. Tukashauriana kwamba aende veta nako akafukuzwa vile vile kwa vurugu. Hakuna ambacho hatujajaribu kwa huyu kiumbe na kuna bro kawahi kumuweka asimamie mradi mmoja hivi kaharibu.. Akiachwa hivi hivi anakuwa ni kero tupu, hapo hom kashauza kila chenye maana. Akija kwa kaka zake ndio ugomvi kila siku cheni, simu na vipochi vya shemeji zake haviponi. Kesi za kutapeli kila siku. Tumewaza hadi tunakaribia kukufuru waungwana.
mi nadhani kumuacha sio suluhisho halafu kumbuka huyu ni ndugu wa damu hivyo likimtokea lolote haijalishi usivyopenda ayatendayo lazima roho ikuume
fanya haya mawili kwa pamoja
- maombi juu yake na matendo yake ili Mungu ambadilishe
- tafuta askari na hakimu, waweke sawa hakikisha wanamchezesha kifungoni kwa wiki/miezi/miaka kadhaa....yaani kila akija mahakamani kesi inaahirishwa baada ya huo muda kama hajakaa sawa basi kamuombeni msamaha aliyemloga
Tumewahi kukubaliana namna hii mkuu but kuna sister na anti yetu mmoja kila akitua selo wanamtoa.
Undugu wa damu ungekuwa unakatizwa nadhani ningekuwa wa kwanza kuomba huduma hiyo. Wadau huyu dogo nahisi ni adhabu tuliyoachiwa na marehemu wazazi (sijui tulikosa nini).. Naomba mjaribu kunisaidia mawazo aisee.
Huyu dogo alipomaliza form 4 (kwa mbinde) hakufanya vizuri sana akajiunga na jeshi la polisi, hakumaliza akatimuliwa huko ccp. Kuna mzee mmoja rafiki wa marehemu mzee akatufanyia mpango dogo akaingia jwtz, dogo akaenda akakimbia depo aftr several weeks. Akaja home, akatafutiwa kazi tanesco akafanya kazi siku mbili. Tukashauriana kwamba aende veta nako akafukuzwa vile vile kwa vurugu. Hakuna ambacho hatujajaribu kwa huyu kiumbe na kuna bro kawahi kumuweka asimamie mradi mmoja hivi kaharibu.. Akiachwa hivi hivi anakuwa ni kero tupu, hapo hom kashauza kila chenye maana. Akija kwa kaka zake ndio ugomvi kila siku cheni, simu na vipochi vya shemeji zake haviponi. Kesi za kutapeli kila siku. Tumewaza hadi tunakaribia kukufuru waungwana.
Mwacheni akaishi kwa huyo sister au aunt wanaomuonea huruma
Tumewahi kukubaliana namna hii mkuu but kuna sister na anti yetu mmoja kila akitua selo wanamtoa.
Solution yenye uhakika ya kumsaidi haipo ila atakuja kubadilika mwenyewe kadri umri unavyokwenda au asije kubadilika kabisa
Mweke kwenye maombi iko roho ambayo inamsumbua. mim kaka yangu ilikuwa ni shida! unajua shida? ni shiiida! lakini hakuna linalo mshinda Mungu, tafuta mafuta ya mzeituni yapeleke yakaombewe then mchanganyie kwenye yakeake kidog tu mwachie Mungu mwenyewe NB. kabla ya kuombewa unayasemea mungu akufanyie nini kasha yanabarikiwa.
Undugu wa damu ungekuwa unakatizwa nadhani ningekuwa wa kwanza kuomba huduma hiyo. Wadau huyu dogo nahisi ni adhabu tuliyoachiwa na marehemu wazazi (sijui tulikosa nini).. Naomba mjaribu kunisaidia mawazo aisee.
Huyu dogo alipomaliza form 4 (kwa mbinde) hakufanya vizuri sana akajiunga na jeshi la polisi, hakumaliza akatimuliwa huko ccp. Kuna mzee mmoja rafiki wa marehemu mzee akatufanyia mpango dogo akaingia jwtz, dogo akaenda akakimbia depo aftr several weeks. Akaja home, akatafutiwa kazi tanesco akafanya kazi siku mbili. Tukashauriana kwamba aende veta nako akafukuzwa vile vile kwa vurugu. Hakuna ambacho hatujajaribu kwa huyu kiumbe na kuna bro kawahi kumuweka asimamie mradi mmoja hivi kaharibu.. Akiachwa hivi hivi anakuwa ni kero tupu, hapo hom kashauza kila chenye maana. Akija kwa kaka zake ndio ugomvi kila siku cheni, simu na vipochi vya shemeji zake haviponi. Kesi za kutapeli kila siku. Tumewaza hadi tunakaribia kukufuru waungwana.