Tumfahamu Mtakatifu/Saint Padri Pio

Tumfahamu Mtakatifu/Saint Padri Pio

huyo alikuwa ni mshirikina pure, hili kanisa lilishaharibiwa kitambo kumbe..hakuna miujiza ya hizo unaonekana huku at the same time upo kule..na hii desturi ya kutangazana watakatibu ni tatizo maan ni ibada ya wafu .. na Mungu hapendi mtu akisha kufa hana lake tena hapa ulimwenguni hapo ni yeye na Mungu wake tu asubiri kulipwa kwa kadri ya matendo yake,hii ya kusema unasali kupitia hao watakatifu wafu ni uwongo hata usali mwaka na miaka mtu mfu hawezi kukusaidia kitu..imani yetu wakrito imejegwa kwa Yesu tu yy ndio njia ya uzima hakuna mtu atakayeenda kwa Baba pasipo kupita kwake....
Amini hicho unacho amini wewe kile wanachoamini wenzako waachie wao.Huna sababu yakukwazika kwa jambo lisilo na athari kwako.Unapaswa kujua kwamba hapa duniani zaidi ya 60 hawaamini kwa Mungu huyu tunaemgombania sisi.
Timiza wajibu wako kwa imani yako
 
Eee yupo mkuu, tena yeye bado yuko hai, wenzie wanatangazwa wakishakufa yeye katangazwa akiwa bado yu hai! Ukimgusa tu cha moto utakiona!!
Kweli tena wana lumumba humu wazee wa buku7 washamsimisha kuwa saint
 
Hapana Ndugu Uyo ni Saint/mtakatifu tena kuanzia amezaliwa mpaka anakufa hajawai soma gazeti,kuangalia tv wala kusikiliza radio muda mwingi alitumia kusali tu..
Hajawahi angalia hata katuni?
 
Padri Pio kama anavyojulikana na wengi alizaliwa mwaka 1887 Italy akiwa ni padri wa kikatoliki,Maajabu ya Padri Pio...alipata majeraha ktk mikono yake yaliyofanana na yale ya Bwana Yesu(stigmata) ajabu yake yalikua yakitoa harufu nzuri ya perfume na hayajawai kuoza,alikua anaweza kuonekana sehemu mbili kwa wakati mmoja(bilocation) mfano dar then ukamwona Arusha,Ulikua ukienga kuangama kwake ukificha dhambi atakwambia dhambi flan umeacha na pia kuongea na Malaika wake mfano Angel Michael,Rafael na Gabriel
Katika sala zake za kila siku alikua akiomba kushiriki mateso ya Bwana Yesu Kristu alipata homa kali ambapo alikua akiwekewa thermometer Inapasuka kutokana na joto kali Drs walishindwa kujua chanzo cha homa iyo.Alifariki mwaka 1968 huko Italy na kutanganzwa mtakatifu na Pope John Paul 2 mwaka 2002 Wakatoliki wengi wamekua wakimtumia katika maombi mbalimbali na kutoa ushuhuda wa kufanikiwa...Uyo ndo Saint Padri Pio kwa kifupi sana.#Waweza ongeza pia jinsi unavyomfahamu Mtakatifu Padri Pio.
Nimeisoma wikipedia.. Ila ngoja niwe mdogo tu kwanza
 
Eee yupo mkuu, tena yeye bado yuko hai, wenzie wanatangazwa wakishakufa yeye katangazwa akiwa bado yu hai! Ukimgusa tu cha moto utakiona!!
Kaka umenichekesha kweli to be a saint sio mchezo kuna hatua nyingi sana za kufanyika kabla hujatangazwa mtakatifu...
 
Hope u can add something...welcome
Hapana siwe, kuongeza kitu ila kwa kua na madaktari bingwa walithibitisha bila chenga kweli kuna maajabu, mimi sio mkatoliki ila kuna vitu napenda sana kuvisoma kutoka katoliki, hii inanikumbusha kitu nilisoma inaitwa MUUJIZA WA LANCIANO, pia story kuhusu HOLLY FACE OF JESUS.
Asante kwa kunifumbua macho zaid
 
Mwaka jana pale Kenya alitangazwa #MwenyeHeri Sista Irene raia wa Italy aliyefia Kenya Baada ya miaka mingi sana ya utafiti Moja ya Maajabu aliyoyafanya wakati wa Vita vya Msumbiji watu walijifungia ndani ya kanisa kwa muda mrefu wakawa hawana Maji kutokana na sala zake Kilitokea Chanzo cha maji kule kanisani pasipo julikana na watu kupata maji...Moja ya vitu vilivyochelewesha kutangazwa kuwa mtakatifu ni utafiti kama kulikua na chanzo chochote cha maji eneo lile au mwamba wowote wenye maji eneo lile wakakuta hamna bado michakato inaendelea ili aweze kutangazwa mtakatifu
 
Hapana siwe, kuongeza kitu ila kwa kua na madaktari bingwa walithibitisha bila chenga kweli kuna maajabu, mimi sio mkatoliki ila kuna vitu napenda sana kuvisoma kutoka katoliki, hii inanikumbusha kitu nilisoma inaitwa MUUJIZA WA LANCIANO, pia story kuhusu HOLLY FACE OF JESUS.
Asante kwa kunifumbua macho zaid
Asante sana kaka kwa kufuatilia Muujiza wa Lansio ooho kuhusu Mwili na Damu ya Yesu Kristu ni Tissue halisi za binadamu tena sisizoharibika kabisa...asante sana
 
Et ajawah kuangalia tv wala kusoma gazet!?
Ndugu yangu huwezi kuamini ila ndo ukweli muda mwingi alikua akisali na #Kuungamanisha watu sababu alikua akipokea watu kutoka sehemu mbalimbali masaa ya kazi yaliku ni masaa19kwa usiku hapo apumzike then asubuhi aingize misa huo muda wa kuangalia Tv angepata wapi?
 
Back
Top Bottom