Mkiambiwa tukinukushe mnaseme hayo ni mambo Tundu lissu, tatizo ni mfumo sio tasisi.Yaani unafanya maombi ya kitu flani kwenye taasisi ambacho utalazimika kukilipia kwa kupata Control number, sasa ili upate Control number inakulazimu tena utoe RUSHWA ili utolewe Control number haraka ukalipie uendelee na mambo yako mengine.
Hizi ni Taasisi ambazo wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu !!
Mimi ntatoa Rushwa sawa lakini ntahakikisha Serikali pia nainyoosha sawa sawa.
Chama twawala woooote wala rushwa pamoja na mifumo yao yooooote kabisakiasi kwamba imefika mahali hata wewe mlipa kodi ili ulipe ama upate leseni inadaiwa rushwa,aibu iliyoje na kufa kwa taifa!Aliye kuomba Rushwa mtaje aone aibu
Zitajeni hizo taasisi tuzizomeeYaani unafanya maombi ya kitu flani kwenye taasisi ambacho utalazimika kukilipia kwa kupata Control number, sasa ili upate Control number inakulazimu tena utoe RUSHWA ili utolewe Control number haraka ukalipie uendelee na mambo yako mengine.
Hizi ni Taasisi ambazo wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu !!
Mimi ntatoa Rushwa sawa lakini ntahakikisha Serikali pia nainyoosha sawa sawa.
Huo mkoa hauna ofisi za PCCBYaani unafanya maombi ya kitu flani kwenye taasisi ambacho utalazimika kukilipia kwa kupata Control number, sasa ili upate Control number inakulazimu tena utoe RUSHWA ili utolewe Control number haraka ukalipie uendelee na mambo yako mengine.
Hizi ni Taasisi ambazo wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu !! Mimi ntatoa Rushwa sawa lakini ntahakikisha Serikali pia nainyoosha sawa sawa.
Hatuja zikosea chochpte ila zenyewe ndiyo zimewakosea Wtanzania!Yaani unafanya maombi ya kitu flani kwenye taasisi ambacho utalazimika kukilipia kwa kupata Control number, sasa ili upate Control number inakulazimu tena utoe RUSHWA ili utolewe Control number haraka ukalipie uendelee na mambo yako mengine.
Hizi ni Taasisi ambazo wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu !! Mimi ntatoa Rushwa sawa lakini ntahakikisha Serikali pia nainyoosha sawa sawa.