Mkuu hebu ichek hapo youtube nimeikosaYap! Ni og mkuu KENZY hujakosea naomba na ya Q chief ft.fatuma-nimeridhika nae
Duh! Mkuu huko mbali sana tena ni kina kirefu
Nyie vijana vipi?
Duh! Mkuu huko mbali sana tena ni kina kirefu
Za miaka yako hizo!
Aisee!!!!!! Hapo hata wazazi walikuwa hawajui kama watanizaaHahahaa hiyo ilikuwa 1978 White House kule Ubungo........
Mkuu humu kuna baba zetu,mama zetu,babu na bibi zetu kuna watu wamekula chumvi humu!
Kumbe Blue alipata kumbamba kabla ya big daddysidhani kama hiyo ni og
Daaah ! Mkuu umenikumbusha mbali sana kwa hiki kibao cha tamala.. ! Nakumbuka kipindi hicho miaka ya 2003-5 ndo kulikuwa na tradition ya vijana kujikusanya na kutengeneza camps ! So tunachangishana na kufanya party (wenyewe wanaita kuzindua camp) hapo ataitwa mgeni rasmi usually anakuwa mwanasiasa and akishaondoka tu watu wanaanza kufanya shows ambapo camps majirani huleta wasanii wao na kutoa show maridadi (Mara nyingi walikuwa wanahip hop) then wakimaliza sasa ndo disco linaanza ambapo huwa kuanzia saa sita hivi, nyimbo hii ya tamala ilikuwa inapigwa kuanzia mida ya saa nane na nusu mpaka saa kumi kasoro.. ! Na ule mdundo (beat) wake ulikuwa ukireflect muda kabisa... ! Yaani ilikuwa ni full kujiachia na warembo wa uswazi !Unaipata hiyo..?
Mkuu huku maji ya shingo kwangu kabisaa.. !
Nyie vijana vipi?
kipindi hicho dah...muziki ulikua mziki..yani ulikua unateka hisia sana.
Lakini ukiangalia kwa makini hiyo video utajua hata kumshika anaogopa, huyo Demu anajiheshimu mno sio kama hawa wa sasaKumbe Blue alipata kumbamba kabla ya big daddy