Tumesikitika sana Simba kukosa kombe

Tumesikitika sana Simba kukosa kombe

Umoja wa wachambuzi hapa jamiiforum (UWAJA) unasikitika na kutoa pole Kwa Simba kufuatia kukosa ubingwa ... though juhudi mbalimbali zilifanyika....ni hujuma tu

Hivyo basi....sisi kama umoja wa wachambuzi hapa jamiiforum (UWAJA)......tunatoa masaa 5 Kwa CAF kuwapa simba kombe Lao bila masharti.... otherwise something terrible gonna happen

Japo Simba tuna kombe letu la mtofyo( aluminum)View attachment 3346084

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kombe wanalo ilo apo kalibeba kisugu
 

Attachments

  • FB_IMG_1748255265640.jpg
    FB_IMG_1748255265640.jpg
    52.6 KB · Views: 5
Umoja wa wachambuzi hapa jamiiforum (UWAJA) unasikitika na kutoa pole Kwa Simba kufuatia kukosa ubingwa ... though juhudi mbalimbali zilifanyika....ni hujuma tu

Hivyo basi....sisi kama umoja wa wachambuzi hapa jamiiforum (UWAJA)......tunatoa masaa 5 Kwa CAF kuwapa simba kombe Lao bila masharti.... otherwise something terrible gonna happen

Japo Simba tuna kombe letu la mtofyo( aluminum)View attachment 3346084

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hilo kombe la kuchonga aliyeshauri ni mbumbumbu na waliomfuata vile vile
 
Umoja wa wachambuzi hapa jamiiforum (UWAJA) unasikitika na kutoa pole Kwa Simba kufuatia kukosa ubingwa ... though juhudi mbalimbali zilifanyika....ni hujuma tu

Hivyo basi....sisi kama umoja wa wachambuzi hapa jamiiforum (UWAJA)......tunatoa masaa 5 Kwa CAF kuwapa simba kombe Lao bila masharti.... otherwise something terrible gonna happen

Japo Simba tuna kombe letu la mtofyo( aluminum)View attachment 3346084

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Alisha kabishiwa kisugu kabla ya mechi
 
Simba wangebeba kombe hili sijui tungeweka wapi sura zetu wengine huku
Acha kabisa! Nchi ingekuwa kwenye hali mbaya sana. Siasa za kusifiana na kutukuzana, nazo zingepamba moto! Yaani ingekuwa ni vurugu kila kona. Bora tu wamekosa.
 
Umoja wa wachambuzi hapa jamiiforum (UWAJA) unasikitika na kutoa pole Kwa Simba kufuatia kukosa ubingwa ... though juhudi mbalimbali zilifanyika....ni hujuma tu

Hivyo basi....sisi kama umoja wa wachambuzi hapa jamiiforum (UWAJA)......tunatoa masaa 5 Kwa CAF kuwapa simba kombe Lao bila masharti.... otherwise something terrible gonna happen

Japo Simba tuna kombe letu la mtofyo( aluminum)View attachment 3346084

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Walistahili kulikosa. Kwanza wajinga wnageuza mchezo wa mpira kuwa vita na pili kuna wanasiasa wangeichukua kama mbeleko.
 
Back
Top Bottom