phillipe baptiste
Member
- Oct 11, 2015
- 15
- 12
Wadau nawasalimu,
Nimekua na huyu msichana kwa miaka 5 sasa, na mimi ndie nilikua wa kwanza kwake, mazungumzo ya kuishi pamoja kama mke na mume tuliyaanza 2 yrs ago, kila tunapoweka mezani mjadala huo tunashindwa kufikia muafaka kwa kila mmoja kutaka mwingine ndie abadili dini ili ndoa ifungwe.
Baada ya 5 yrs ya uhusiano huu na mkwamo huu wa dini, niseme tu kwamba nimechoka na hali hii na nahitaji ku move on ili niendelee na mtu mwingine badala ya kupoteza muda, hivyo nikamuita mwenzangu na kumweleza msimamo huu wa kuachana, ambapo amegoma na kunibembeleza sana kwamba let's give it another chance another trial.
Kinachonishangaza ni kuwa kwa miaka hiyo 2 ya mazungumzo kila tunaposhindwana yeye hukimbilia kusema let's give it another chance another trial huenda one day tukafikia muafaka.
Jambo ambalo nimeona haliwezekaniki
Kwa uelewa wangu and according to tradition mwanamke ndie anaepaswa kubadili dini kumfuata mwanaume, lakini yeye anang'ang'ania mimi ndio nimfuate yeye kwamba wazazi wake hawatakubali, sasa huwa namuuliza kwa hiyo wazazi wangu ndio watakubali?
Na ndoa ya bomani wote hatuitaki maana kama mimi mfano ni muumini mzuri kwenye dini yangu na ninashiriki kila kitu sasa kwa nini nikafungie bomani? Pia yeye hataki bomani.
Sasa wadau hapo pana future kweli?
Si bora tufuate mapendekezo yangu ya kuachana tu? Au?
Nimekua na huyu msichana kwa miaka 5 sasa, na mimi ndie nilikua wa kwanza kwake, mazungumzo ya kuishi pamoja kama mke na mume tuliyaanza 2 yrs ago, kila tunapoweka mezani mjadala huo tunashindwa kufikia muafaka kwa kila mmoja kutaka mwingine ndie abadili dini ili ndoa ifungwe.
Baada ya 5 yrs ya uhusiano huu na mkwamo huu wa dini, niseme tu kwamba nimechoka na hali hii na nahitaji ku move on ili niendelee na mtu mwingine badala ya kupoteza muda, hivyo nikamuita mwenzangu na kumweleza msimamo huu wa kuachana, ambapo amegoma na kunibembeleza sana kwamba let's give it another chance another trial.
Kinachonishangaza ni kuwa kwa miaka hiyo 2 ya mazungumzo kila tunaposhindwana yeye hukimbilia kusema let's give it another chance another trial huenda one day tukafikia muafaka.
Jambo ambalo nimeona haliwezekaniki
Kwa uelewa wangu and according to tradition mwanamke ndie anaepaswa kubadili dini kumfuata mwanaume, lakini yeye anang'ang'ania mimi ndio nimfuate yeye kwamba wazazi wake hawatakubali, sasa huwa namuuliza kwa hiyo wazazi wangu ndio watakubali?
Na ndoa ya bomani wote hatuitaki maana kama mimi mfano ni muumini mzuri kwenye dini yangu na ninashiriki kila kitu sasa kwa nini nikafungie bomani? Pia yeye hataki bomani.
Sasa wadau hapo pana future kweli?
Si bora tufuate mapendekezo yangu ya kuachana tu? Au?