I salute our mother, anajua sana kurudisha mapigo...Barikiwa mama!Hongera UN...hongera Balozi Katanga ...Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kwa jambo hili
Yule kima Mwendazake hajaacha legacy yeyote zaidi ya kuharibu nchi yetu nzuri kiuchumi na mahusiano ya kimataifa. Legacy haigombewi, huonekana kweupe tu.Walikuwa na kasi ya kishetani sana hawa jamaa. Umma wa watanzania walio wengi wanakubali sana Magu, mtu awaye yote akujitokeza kumsimanga, lazima ashambuliwe. Legacy ya Magu ni ya miaka mingi mno, tangu akiwa waziri, umma ulikuwa unamfahamu utendaji kazi wake na misimamo yake; utawezeji mnafiki mmoja umchafue kwa report uchwara ya CAG?...
Utateseka sana...ndiyo dunia imewajibu leo...pole utakufa kwa stress za roho mbayaYule kima Mwendazake hajaacha legacy yeyote zaidi ya kuharibu nchi yetu nzuri kiuchumi na mahusiano ya kimataifa. Legacy haigombewi, huonekana kweupe tu.
Tutamkumbuka kama murderer, dictator, mbaguzi wa kikabila na kidini, mwongo na mwizi
Unaufahamu juu ya hiki usemacho mkuu, unaweza thibitisha?Sasa walioMumwandazake watasemaje kama wewe unasema umeshinda?
Kwani takwimu kuwa asilimia 100 ya watumishi wa umma waliofanya Taifa hili lifike uchumi wa kati kabla ya muda Prof. ASSAD alitoa wapi?Ndio ndio mkuu nimesoma. Ila pale aliposema kuwa "90% ya raia wa Tanzania ni magufulists" ndipo nilipoacha kusoma kwakuwa nimejua mwenye thread ni mjinga kwakuwa hata tukimuuliza hizo takwimu amepata wapi au amezipataje hataweza kutujibu.
Mimi sio Prof. Assad ingefaa hili swali umuulize yeye.Kwani takwimu kuwa asilimia 100 ya watumishi wa umma waliofanya Taifa hili lifike uchumi wa kati kabla ya muda Prof. ASSAD alitoa wapi?
Hawa wa kimara wabomoleeni wale wa Mwz waacheni ndio wapiga kura wangu hao.Kwani takwimu kuwa asilimia 100 ya watumishi wa umma waliofanya Taifa hili lifike uchumi wa kati kabla ya muda Prof. ASSAD alitoa wapi?
Mmeshinda nini sasa wakati shujaa wenu kafa?Well, Rais wetu Mpendwa aliyetangulia peponi ameshambuliwa sana na wale jamaa...akiwa hai na hata ktk umauti wake kaburini, tofauti ni kwamba akiwa hai walimshambulia na kumfitini behind closed doors, alipofariki wakajitokeza Hadharani, shameless!...
Well, Rais wetu Mpendwa aliyetangulia peponi ameshambuliwa sana na wale jamaa...akiwa hai na hata ktk umauti wake kaburini, tofauti ni kwamba akiwa hai walimshambulia na kumfitini behind closed doors, alipofariki wakajitokeza Hadharani, shameless!
A thing ni kwamba walijua watafuta Legacy yake hata kabla ya 40 yake. Bad luck to them, wakakwamishwa Nguvu ya Umma wa Magufulists ambao Hawa ni karibu asilimia 90 ya Raia wote wa Taifa hili.
Magufulism,Magufulication, Magufulists, iwe jua,iwe mvua, always there.
Nguvu ya Umma wa Magufulism imeshinda hila za Shetani juu ya Watu wema.
Sasa leo jamaa wanahaha mmoja baada ya mwingine kujaribu kutumia platfom mbalimbali ikiwemo hata Bunge kujiosha baada ya kushtuka kuwa zoezi la kumchafua Magufuli Duniani ni gumu vibaya mno sawa tu na kuusubiria Mguu wa bandia uote vinyweleo.
It's too late, Mioyo yetu tayari inavuja damu ya uzalendo,Hasira za Magufulism zimemea, Baada ya kumpoteza Shujaa huyu hatuna cha kupoteza tena,nkwa Mtu Ambaye yupo inferior na hatia ya dhihaka na unafiki juu ya Shujaa wa Taifa hili JPM nadhani ikimpendeza nafasi za kwenda kwenye kaburi Chato kujitakasa na Dhambi ya usaliti na unafiki ipo wazi.
Baba Pumzika kwa Amani.