Tumeshaonywa Tena na Tena: Mpenzi au Mchumba Hasomeshwi!

umekosea na umesau mjumbe makubaliano yetu yalikua ni kumsomesha chuo cha biblia tuu. Si vinginevyo!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Humu ndani kuna watu hovyo sana jamni daaah
Hadi chereani hamtaki kufundisha kweli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Humu ndani kuna watu hovyo sana jamni daaah
Hadi chereani hamtaki kufundisha kweli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
cherehani huo umefanya uwekezaji sasa hapo kimahesa ataolewa na hiyo cherehani. Na wewe utaenda kwenye daraja
 
cherehani huo umefanya uwekezaji sasa hapo kimahesa ataolewa na hiyo cherehani. Na wewe utaenda kwenye daraja
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Alafu unajiita mzee wa mapendo aiseeeee bongo kuna mengi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna nyeto, kuna gambe, kuna pisi kali kwa bei chee mpaka buku mbili.
Kuna vibinti viduchu vibichiiii wala hutumii nguvu kusukumiza voko, ghalama ni vocha tu, ukikanunilia tecno baasi umeua.

Jamani sasa unajiuaje??? Kuna wanachuo bwerere ni kubadilisha tu ukitaka.

Sasa huyu bwege anajiuaje, huko hamna bar, akate hata nyagi kavu akifia bar walau atakua kafa kishuja. Walevi tutampigia makofi na kumzika vyedi.
 
Kuna nyeto, kuna gambe, kuna pisi kali kwa bei chee mpaka buku mbili.
Kuna vibinti viduchu vibichiiii wala hutumii nguvu kusukumiza voko, ghalama ni vocha tu, ukikanunilia tecno baasi umeua.

Jamani sasa unajiuaje??? Kuna wanachuo bwerere ni kubadilisha tu ukitaka.

Sasa huyu bwege anajiuaje, huko hamna bar, akate hata nyagi kavu akifia bar walau atakua kafa kishuja. Walevi tutampigia makofi na kumzika vyedi.
Wewe mpaka siku wakulekodi na watupe connection yako ndo utaachana na hao viumbe maana sio kwa ulivo mention hivo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kabla ya kumsomesha, hakikisha umeoa, na kashakuzalia watoto wasiopungua 3. Akipata elimu akakuacha, elimu itasaidia kulea watoto wako, over!
 
Wewe mpaka siku wakulekodi na watupe connection yako ndo utaachana na hao viumbe maana sio kwa ulivo mention hivo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Connection yangu haiwezi kutrend πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna dada mmoja anaitwa Mwajabu, wale wanafunz wa kwanza kabisa kumaliza Amucta pale Tabora, aliolewa na akawa anasomeshwa na mumewe toka akiwa skondari, ni mkazi wa Dar wilaya ya Temeke, yan anatoka kwake asubuh anaenda shule mpaka anamaliza form 4 chuo ndio aka join Tabora, hakupataga mimba kipindi choote hicho mpaka chuo inasemekana mumewe alikua na ishu za uzazi, akiwa chuo mwishon akaanza mahusiono (nafikiri alitaka ku prove kama mumewe ana shida au yey) , akamaliza chuo ana mimba, akaenda kuzalia nyumbani kwa mumewe.
Ni mwalimu.
Inatia uchungu sana
 
Inategemea banaaa mbona kuna wanaowasomesha na malovee yanasonga fureshi tu!

Cc Smart911
Tafadhali achana na hii kauli ya inategemea kwenye jambo hili, kama imewahi kutokea basi nikwako.
Naungana na mtoa mada tafadhali mwanaume kama una akili timamu acha kabisa hili suala haliingii akilini na linasababish madhara makubwa.
Somesha watoto wako, au nenda kasomeshe yatima huko mungu atakulipa.
Masikini ukute hiki kiumbe kina wadogo zake huko walikuwa wanarudishwa shule au chuo kwakukosa ada kumbe Kuna kiumbe huku kilikuwa kinabembeleza utamu,
Jamaniii, jamanii wanaume achane Hilo tumejitolea tumetoa mbavu Moja kuwapa Hawa ila hawaridhik, yaani mpaka wahakikishe wanaitoa na roho!! Ndo wakae sawa..
 
Back
Top Bottom