Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,766
Habari za wakati huu wapendwa wanaJF, poleni kwa majukumu mazito ya kuitumikia Nchi yetu na kwa wale ambao mlikuwa na ibada leo hii, Hongereni..! Niende kwenye maada moja kwa moja.!
Mimi ni kijana wa kiume 29, nina mpenzi almost mwaka na miezi mitatu tuko kwenye mahusiano. Dada huyu kipindi cha awali alikuwa na anapenda sana kuchati kuwaita watu majina kama wapenzi na hiyo ilitokana na mimi mwenyewe siku moja kumwomba simu yake na hapo iliingia text ambayo ilinishitua nikaingia inbox . Nilifuatilia zile chats na nilichogundua ni kwamba yeye alikuwa anaita majina hayo bila kujali we una mahusiano au lah...! Labda huenda jamaa alikuwa anakula ....! Sikutaka kuchimba zaidi ya kile nilichokiona..! Tulizungumza na tukaelewana na kweli aliwambia marafiki zake na yeye pia aliachakuita majina hayo. Na baada ya hapo niliamua tu kutojipa pressure isiyo ya lazima nikaacha kushika simu yake na sitashika simu ya mpenzi wangu.!
Ni muda sana hatujatofautiana kwa sababu ya ishuya simu..! Basi leo kaja Ghetto kunisalimia,, Nikawa naangalia TV nayeye yupo namimi basi akaniambia naomba simu yako. Nikampa bila kusita akaniambia toa password (Nikaweka fingerprints ikafunguka).Akaanza kusoma text nilizochati na wadada zote na na akaomba aingie na whatsapp nikamfungulia akaenda. Kasoma text namtizama tu. Katika kusom akakuta text nime toa compliments kwa mdada ambaye honestly namkubali kwa hustle zake na nikamwambia (kwenye text, kwamba siku nikipata nafasi ya kuja Mwanza nitakutafuta nikuone) kesi ikawa kwamba nina mpango wa Kwenda mwanza so niende tu nikaonane naye huyo mtu. SikuongeA na nyingine tena kadada kalikuwa kameweka video ambayo ameitoa Tiktok ambayo ni account yake ...! Nikamsifia Mguu mzuri na pia nikamwambia una shepu na Mguu pia besti na imoji ya kuonyesha napongeza.
Ishu ya kumsifia huyu mdada ikawa kesi, akakomaa kama nimependa miguu yake si nimfuate huyo nayeye nimuache na pia akawa anasema kwahiyo namsifia Mdada kisa yeye ni shapeless (Maneno yake GF wangu) na anamguu mwembamba hauna Nyama..! Kitu ambacho mimi kila mara namsikiaga nikiwa nampiga picha... utasikia “piga kuazia juu hadi magotini chini ukate miguu yangu hii mibaya sitaki ionekane.! “ Na pia ana shepu nzuri namsifiaga mnoo na hips kama zote ila sasa ishu ya kumsifia Mdada wa watu kwamba anamguu mzuri yaani imeibua kesi sana. So nimemwambia sina maana kwamba nataka nimtongoze huyo mdada ila basi tu yeye haniamini dizaini fulani.
So mimi nakuja, tupeane busara na hekima za kushughulika na mpenzi anayekagua simu kiasi cha kukufanya ushindwe kuwa huru.! Tafdhari..! Naomba mnisaidie mawazo na share uzoefu wako kulingana na ishu ya simu au text zilivyoleta ugomvi na mlitatua vipi ???
Mimi ni kijana wa kiume 29, nina mpenzi almost mwaka na miezi mitatu tuko kwenye mahusiano. Dada huyu kipindi cha awali alikuwa na anapenda sana kuchati kuwaita watu majina kama wapenzi na hiyo ilitokana na mimi mwenyewe siku moja kumwomba simu yake na hapo iliingia text ambayo ilinishitua nikaingia inbox . Nilifuatilia zile chats na nilichogundua ni kwamba yeye alikuwa anaita majina hayo bila kujali we una mahusiano au lah...! Labda huenda jamaa alikuwa anakula ....! Sikutaka kuchimba zaidi ya kile nilichokiona..! Tulizungumza na tukaelewana na kweli aliwambia marafiki zake na yeye pia aliachakuita majina hayo. Na baada ya hapo niliamua tu kutojipa pressure isiyo ya lazima nikaacha kushika simu yake na sitashika simu ya mpenzi wangu.!
Ni muda sana hatujatofautiana kwa sababu ya ishuya simu..! Basi leo kaja Ghetto kunisalimia,, Nikawa naangalia TV nayeye yupo namimi basi akaniambia naomba simu yako. Nikampa bila kusita akaniambia toa password (Nikaweka fingerprints ikafunguka).Akaanza kusoma text nilizochati na wadada zote na na akaomba aingie na whatsapp nikamfungulia akaenda. Kasoma text namtizama tu. Katika kusom akakuta text nime toa compliments kwa mdada ambaye honestly namkubali kwa hustle zake na nikamwambia (kwenye text, kwamba siku nikipata nafasi ya kuja Mwanza nitakutafuta nikuone) kesi ikawa kwamba nina mpango wa Kwenda mwanza so niende tu nikaonane naye huyo mtu. SikuongeA na nyingine tena kadada kalikuwa kameweka video ambayo ameitoa Tiktok ambayo ni account yake ...! Nikamsifia Mguu mzuri na pia nikamwambia una shepu na Mguu pia besti na imoji ya kuonyesha napongeza.
Ishu ya kumsifia huyu mdada ikawa kesi, akakomaa kama nimependa miguu yake si nimfuate huyo nayeye nimuache na pia akawa anasema kwahiyo namsifia Mdada kisa yeye ni shapeless (Maneno yake GF wangu) na anamguu mwembamba hauna Nyama..! Kitu ambacho mimi kila mara namsikiaga nikiwa nampiga picha... utasikia “piga kuazia juu hadi magotini chini ukate miguu yangu hii mibaya sitaki ionekane.! “ Na pia ana shepu nzuri namsifiaga mnoo na hips kama zote ila sasa ishu ya kumsifia Mdada wa watu kwamba anamguu mzuri yaani imeibua kesi sana. So nimemwambia sina maana kwamba nataka nimtongoze huyo mdada ila basi tu yeye haniamini dizaini fulani.
So mimi nakuja, tupeane busara na hekima za kushughulika na mpenzi anayekagua simu kiasi cha kukufanya ushindwe kuwa huru.! Tafdhari..! Naomba mnisaidie mawazo na share uzoefu wako kulingana na ishu ya simu au text zilivyoleta ugomvi na mlitatua vipi ???