TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,102
Kaka Manyerere nimeipenda hii.
Nimeshatoa sababu ya 7 hapo juu na sababu ya 8.CDM walikuwa wanaandikwa sana na vyombo vya habari kuliko vyama vingine...why..huwaii ..kwanini.Sababu ya 9.poliCCm hawakutumia mabomu ya machozi na kamatakamata kwa wafuasi na viongozi wa CDM!
CHADEMA wanahonga waandishi waandikwe wao.