DOKEZO Tumepoteza vijana. Wengi hawajulikani walipo

DOKEZO Tumepoteza vijana. Wengi hawajulikani walipo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Policcm nilinyoosha mikono ushetani wao ni pale walipomkamata chaula mara ya pili baada ya kuumbuka na kesi yao ya mchongo mwana wakamchukua rasmi akapotea mazima....pain sana haya mambo sie wananchi ndio tunayalea.
Ni kweli kabisa hapa wenye shida Sasa ni wananchi maana ingekuwa akipotea mmoja wanapotea policcm kumi na mabalozi wa ccm kumi plus their families wasingethubutu kuteka watu tena na kuwauwa.
 
Policcm nilinyoosha mikono ushetani wao ni pale walipomkamata chaula mara ya pili baada ya kuumbuka na kesi yao ya mchongo mwana wakamchukua rasmi akapotea mazima....pain sana haya mambo sie wananchi ndio tunayalea.
Ni ajabu, lakini ni kweli.

Wananchi unaosema "tunayalea", wengi wa wananchi hao hawajui chochote kuhusu hawa vijana waliopotea au/na kuuawa.

Habari hizi vyombo vyote vya habari hawazipi umuhimu; sasa unategemea mwananchi wa kawaida atapata wapi habari?

Kulaumu ni sawa, lakini pia ni muhimu kutambua nchi yetu ilivyo sasa hivi.
 
Watanzania ni uoga ndo uliosababisha kufika hapa tulipo, watu wanatekwa mchana kweupe wakijua watanzania hakuna kitu watafanya.

Ila siku tukishinda huu uoga, tukaungana kwa wingi wetu bila kujali itikadi za vyama na wala dini, ni rahisi sana kuitoa serikali iliyopo madarakani, kwanini?, kwasababu Tanzania haijawah kutokea movement kubwa kuipinga serikali hivyo hata serikal hawaja wekeza kwenye resources za kutosha kupambana na hvyo vitu.

Mfano kenya ina uzoefu, ndo maana hata askari wao wana hadi kinga za miguu kama za waendesha piki piki, ili kuzuia kupigwa mawe ya ugoko wakati Tanzania wanavaa field force tena sio wote, magari ya washa washa hayazidi kumi Dar nzima, idadi ya askari active ni ndogo sana tofauti na kenya ambayo ina recruit polisi wengi ili kujiandaa na maandamano ya kila kukicha.

Kama Tanzania ikiandamana, mfano Dar tukajitokeza watu kuanzia 20,000 kwenda juu, serikali inaanguka masaa machache tu.
Zanzibar tu ilibidi vijana wa JKT wavalishwe nguo za polisi, na hyo ilikuwa ni upinzani tu, imagine watu wote bila kujali chama wakaungana.

Mtwara ilibidi ipeleke Jeshi kwenye lile sakata la gesi. Kwa ufupi polisi wa Tanzania kwenye swala la maandamano ni bado sana, nguvu yao ni ndogo, Na hyo ndo faida TZ inayo kama siku tukiamka kupambania Haki.
 
Back
Top Bottom