Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,485
- 5,817
Tumenunua mindege mingi, mingine mikubwa na mingine ya kadiri na mingine midogo.
Manunuzi haya hayana tija kwa taifa letu, yanatutia umasikini zaidi. Watumiaji wa ndege hawazidi 2% hata viwanja vyenyewe hatuna vya kutosha.
Mikoa ya kaskazini hakupitiki, madaraja na barabara zimekatika. Watanzania hatuhitaji ndege, tunahitaji kuboreshewa miundombinu. Tunahitaji lishe bora, elimu safi kama inayotolewa kwenye shule mnakopeleka watoto wenu. Tunahitaji maji safi na salama na pia tunahitaji huduma bora za afya.
Magufuli amezunguka vijiji vingi kuanzia Songwe, Rukwa, Katavi, Lindi, Mtwara etc hamna sehemu hata moja ambapo wananchi walimwambia tunahitaji ndege.
Sasa kama yeye ni Rais wa WANYONGE, si asikilize kilio chetu badala ya kufanya mambo anayoshauriwa na Kagame?
Magufuli tunakuombea mema ndio maana tunakukosoa licha ya kwamba hupendi kukosolewa.
Dreamliner ya kwanza ipo tuuuuu imelala ndani haijapaa kwenda kokote licha ya kwamba mlituhadaa kwamba itaanza kwenda India na China.
Hiyo haiingizi pesa yoyote bado mnaleta dreamliner nyingine. Hizi assets zinaharibika, mbaya zaidi zinaharibika huku haziingizi kitu.
Jana umesema tumepata USD 14mil. Tunaomba CAG report ambayo ameikagua ATCL. Tunajua ATCL ni miongoni mwa asasi ambazo hutaki zikaguliwe kwa kuficha aibu.
Sasa tunaomba uache kutuhadaa kuwa ATCL inajiendesha kwa faida.
Pascal Mayalla, usikasirike, najua wasukuma mmeshikamana ili kuteteana hata kwenye ujinga.
Manunuzi haya hayana tija kwa taifa letu, yanatutia umasikini zaidi. Watumiaji wa ndege hawazidi 2% hata viwanja vyenyewe hatuna vya kutosha.
Mikoa ya kaskazini hakupitiki, madaraja na barabara zimekatika. Watanzania hatuhitaji ndege, tunahitaji kuboreshewa miundombinu. Tunahitaji lishe bora, elimu safi kama inayotolewa kwenye shule mnakopeleka watoto wenu. Tunahitaji maji safi na salama na pia tunahitaji huduma bora za afya.
Magufuli amezunguka vijiji vingi kuanzia Songwe, Rukwa, Katavi, Lindi, Mtwara etc hamna sehemu hata moja ambapo wananchi walimwambia tunahitaji ndege.
Sasa kama yeye ni Rais wa WANYONGE, si asikilize kilio chetu badala ya kufanya mambo anayoshauriwa na Kagame?
Magufuli tunakuombea mema ndio maana tunakukosoa licha ya kwamba hupendi kukosolewa.
Dreamliner ya kwanza ipo tuuuuu imelala ndani haijapaa kwenda kokote licha ya kwamba mlituhadaa kwamba itaanza kwenda India na China.
Hiyo haiingizi pesa yoyote bado mnaleta dreamliner nyingine. Hizi assets zinaharibika, mbaya zaidi zinaharibika huku haziingizi kitu.
Jana umesema tumepata USD 14mil. Tunaomba CAG report ambayo ameikagua ATCL. Tunajua ATCL ni miongoni mwa asasi ambazo hutaki zikaguliwe kwa kuficha aibu.
Sasa tunaomba uache kutuhadaa kuwa ATCL inajiendesha kwa faida.
Pascal Mayalla, usikasirike, najua wasukuma mmeshikamana ili kuteteana hata kwenye ujinga.