Kila jambo na 'professionalism' yake, kazi ya jeshi ni kulinda nchi na mipaka yake, kazi ya jeshi siyo kubangua korosho, jeshi lina taratibu zake na utaalamu wake, limezoea amri, lina nidhamu yake, ndiyo maana ilibidi kwanza litii amri ya CiC ingawa lilijua kabisa kazi linayopewa ya kubangua korosho ni ngumu kwake.
Binafsi sikuona sababu zozote zile za msingi kulitumia jeshi kubangua korosho wakati wazoefu wa kazi hiyo wapo I mean wameshindwa wajibu wao, jeshi halina uzoefu wowote wa ununuzi na ubanguaji wa korosho, kama ingekuwa ujenzi wa madaraja sawa, kazi ya uokoaji sawa kwa sababu jeshi lina vitengo hivyo lkn halina kitengo cha kubangua korosho.
Tushukuru Mungu safari hii jeshi lilitii amri lkn kuna siku litasema hatutaki tena kudhalilishwa kwa mara ya pili, tuombe siku hiyo isiwepo, lkn kwa kilichotokea Mtwara hadi jeshi kusema limekwamishwa kutokana na ukiritimba wa baadhi ya watendaji basi kuna siku halitakubali kukwamishwa tena.
Pengine hili lichukuliwe kama changamoto na fundisho kwa watawala wetu kuwa, next time wanapoamua kulitumia jeshi kuwe na jambo la dharura na sababu za msingi kiasi kwamba bila jeshi kuingilia kati basi usalama wa nchi utakuwa hatarini, wasilitumie jeshi kama mgambo wa jiji kutatua mambo madogo madogo ambayo yanaweza kutatuliwa na kada zingine, otherwise itakuwa ni kulikosea heshima jeshi linapoonekana limeshindwa wakati mwingine ni kutokana na uzembe wa baadhi ya viongozi.
Viongozi tuepuke kulitumia jeshi letu kwa political mileage, lisiwe dumping basket kwa makosa ya wanasiasa, ferry mbovu tulilitupia, korosho tumelitupia, jeshi ni silaha yetu ya 'mwisho', tukilikizoea sana kuna hatari ya jeshi kuamua kuchonga mzinga wake lenyewe nakusema 'enough is enough'.
Binafsi sikuona sababu zozote zile za msingi kulitumia jeshi kubangua korosho wakati wazoefu wa kazi hiyo wapo I mean wameshindwa wajibu wao, jeshi halina uzoefu wowote wa ununuzi na ubanguaji wa korosho, kama ingekuwa ujenzi wa madaraja sawa, kazi ya uokoaji sawa kwa sababu jeshi lina vitengo hivyo lkn halina kitengo cha kubangua korosho.
Tushukuru Mungu safari hii jeshi lilitii amri lkn kuna siku litasema hatutaki tena kudhalilishwa kwa mara ya pili, tuombe siku hiyo isiwepo, lkn kwa kilichotokea Mtwara hadi jeshi kusema limekwamishwa kutokana na ukiritimba wa baadhi ya watendaji basi kuna siku halitakubali kukwamishwa tena.
Pengine hili lichukuliwe kama changamoto na fundisho kwa watawala wetu kuwa, next time wanapoamua kulitumia jeshi kuwe na jambo la dharura na sababu za msingi kiasi kwamba bila jeshi kuingilia kati basi usalama wa nchi utakuwa hatarini, wasilitumie jeshi kama mgambo wa jiji kutatua mambo madogo madogo ambayo yanaweza kutatuliwa na kada zingine, otherwise itakuwa ni kulikosea heshima jeshi linapoonekana limeshindwa wakati mwingine ni kutokana na uzembe wa baadhi ya viongozi.
Viongozi tuepuke kulitumia jeshi letu kwa political mileage, lisiwe dumping basket kwa makosa ya wanasiasa, ferry mbovu tulilitupia, korosho tumelitupia, jeshi ni silaha yetu ya 'mwisho', tukilikizoea sana kuna hatari ya jeshi kuamua kuchonga mzinga wake lenyewe nakusema 'enough is enough'.