Tumeikumbuka Dar ya Makonda ghafla

Tumeikumbuka Dar ya Makonda ghafla

Duuuh ,palikua pasafi hapo nje...saivi ni wamachinga tupu

Tangazo linasema hakuna kufanya biashara na hakuna kuegesha magari lakini waswahili wamejifanya hawajui kusoma
 
Watu washaanza (wasanii) kujigonga wakati walimdelet.
 
Makonda ni muigizaji mzuri tu, kazi aliyoipata sasa ndiyo saizi yake kwa maigizo.

Naamini Kinana ni kichwa.
 
Back
Top Bottom