Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Wadau sasa ni Takribani Miaka 3 toka Baba Askofu Mh.Mbunge GWAJIMA akiwa ktk Viwanja vya Kawe wakati akiwahutubia Wananchi wa Kawe wakati wa Kampeni za Ubunge kuwa Endapo atachaguliwa kuwa Mbunge LAZIMA Wapiga KURA wa Kawe Awapeleke MAREKANI.
Kama haitoshi na VIJANA wote wanaojihusisha na UVUVI atawapatia Boti za KISASA za UVUVI
Sasa ni Miaka 3 hakuna ALICHOTEKELEZA ukizingatia Wananchi kwa Upande wao Wamempa UBUNGE licha ya Ubunge wenyewe ulikuwa wa KUTEULIWA na Magufuli.
Kinachosikitisha zaidi ni Kitendo cha KUWADANGANYA Wananchi Ukichukulia Mh.GWAJIMA licha ya kuwa Mbunge ni ASKOFU mtu ambaye HAFAI Kusema UONGO.
Ushauri kwa ASKOFU Mh.Mbunge arudi kwenye Ule ule Uwanja alipotolea hizo AHADI awaambie Wananchi wa Kawe kuwa zile AHADI Zilikuwa ni "AHADI KANYABOYA" kama Alivyofanya Mwendazake Kuhusu zile TRIL 360 za Barrick kuwa zilikuwa ni "KANYABOYA".
Kama haitoshi na VIJANA wote wanaojihusisha na UVUVI atawapatia Boti za KISASA za UVUVI
Sasa ni Miaka 3 hakuna ALICHOTEKELEZA ukizingatia Wananchi kwa Upande wao Wamempa UBUNGE licha ya Ubunge wenyewe ulikuwa wa KUTEULIWA na Magufuli.
Kinachosikitisha zaidi ni Kitendo cha KUWADANGANYA Wananchi Ukichukulia Mh.GWAJIMA licha ya kuwa Mbunge ni ASKOFU mtu ambaye HAFAI Kusema UONGO.
Ushauri kwa ASKOFU Mh.Mbunge arudi kwenye Ule ule Uwanja alipotolea hizo AHADI awaambie Wananchi wa Kawe kuwa zile AHADI Zilikuwa ni "AHADI KANYABOYA" kama Alivyofanya Mwendazake Kuhusu zile TRIL 360 za Barrick kuwa zilikuwa ni "KANYABOYA".