Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Wadau nawasalimu .
Kiongozi wa Awamu ya TANO alituaminisha sana Watanzania kuwa ni MZALENDO na MTETEZI wa WANYONGE
Wakati wa SAKATA la MAKINIKIA Bwana huyu Aliunda TUME za WASOMI MAPROFESA kuchunguza Wizi huu wa Ukwepaji wa KODI na kuja na Majibu kuwa kuna UKWEPAJI MKUBWA wa KODI uliofanywa na BARRICK kwa Muda mrefu na baada ya MAZUNGUMZO Bwana huyu Akatutangazia kuwa BARRICK wanatakiwa Kuilipa TANZANIA TRIL.360 Ukweli nilimsifu sana BWANA HUYU.
Baada ya Miezi Tukaanza kuona MAKONTENA pale Bandarini yakiondoka tukiamini TRIL.360 Zimeingia BENKI KUU Tutatangaziwa pale IKULU lakini BWANA HUYU Akawa Kimya wala hakututangazia kuwa zile TRIL.360 TUMELIPWA.
Baada ya Ukimya Mrefu wenye AKILI KUBWA wakaanza KUHOJI na ndipo alipojitokeza Aliyekuwa WAZIRI wa Mambo ya Nje Bwana Prof KABUDI na Kututangazia kuwa "ZILE TRIL.360 ZILIKUWA KANYABOYA"
Pia kuna suala la "PLEA BARGAING" suala hilo nalo limenishangaza sana kwanini BWANA huyu Aliruhusu Watuhumiwa Wakalipe FEDHA TASLIMU Serikalini wakati SERIKALI inalipwa FEDHA zake kwa CONTROL NUMBER wenye AKILI KUBWA tukajua
Ukweli kuanzia hapo ndipo nilipoamini kuwa MZALENDO wa WAKWELI wa NCHI hii ni HAYATI BABA wa TAIFA TU
Bwana huyu HAKUWA MZALENDO
Kiongozi wa Awamu ya TANO alituaminisha sana Watanzania kuwa ni MZALENDO na MTETEZI wa WANYONGE
Wakati wa SAKATA la MAKINIKIA Bwana huyu Aliunda TUME za WASOMI MAPROFESA kuchunguza Wizi huu wa Ukwepaji wa KODI na kuja na Majibu kuwa kuna UKWEPAJI MKUBWA wa KODI uliofanywa na BARRICK kwa Muda mrefu na baada ya MAZUNGUMZO Bwana huyu Akatutangazia kuwa BARRICK wanatakiwa Kuilipa TANZANIA TRIL.360 Ukweli nilimsifu sana BWANA HUYU.
Baada ya Miezi Tukaanza kuona MAKONTENA pale Bandarini yakiondoka tukiamini TRIL.360 Zimeingia BENKI KUU Tutatangaziwa pale IKULU lakini BWANA HUYU Akawa Kimya wala hakututangazia kuwa zile TRIL.360 TUMELIPWA.
Baada ya Ukimya Mrefu wenye AKILI KUBWA wakaanza KUHOJI na ndipo alipojitokeza Aliyekuwa WAZIRI wa Mambo ya Nje Bwana Prof KABUDI na Kututangazia kuwa "ZILE TRIL.360 ZILIKUWA KANYABOYA"
Pia kuna suala la "PLEA BARGAING" suala hilo nalo limenishangaza sana kwanini BWANA huyu Aliruhusu Watuhumiwa Wakalipe FEDHA TASLIMU Serikalini wakati SERIKALI inalipwa FEDHA zake kwa CONTROL NUMBER wenye AKILI KUBWA tukajua
Ukweli kuanzia hapo ndipo nilipoamini kuwa MZALENDO wa WAKWELI wa NCHI hii ni HAYATI BABA wa TAIFA TU
Bwana huyu HAKUWA MZALENDO