Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Hata mimi nimesikia kuwa wale wahindi walivyohaka website yao wamefuta data, wako bizzy kuzitunga upya.
pamoja na kutulia, tcu bado wanafikra za upande mmoja tu kuwa wanafunzi wote wanaoingia vyuo wanatoka moja kwa moja shule!! Kuna watu wengine wameajiliwa na wanahitaji kuwa na admission letters ili waombe ruhusa kwa ajili ya masomo yao, na hali halisi inajulikana kuwa mpaka upata ruhusa ni mchakato mrfu sana unahitaji maandalizi ya mapema sana!1!!! Na pia ndani ya hawa wanafunzi wengine wangekuwa na admission letters mapema wangeweza kuomba ufadhili wa masomo yao toka sehemu mbalimbali ili kuongeza sehemu ambayo bodi ya mikopo haijaweza kutimiza mahitaji, na ingewezekana pia kuacha kutegemea bodi!!!tulia dogo kelele za nini?