RJ45
JF-Expert Member
- May 20, 2014
- 340
- 119
Habari zenu wana jamvi?!
Uchaguzi ndo huo umeisha tunasubiri matokeo lakini kwa upande mwingine tarehe za vyuo kufunguliwa ndo zmewadia lakina cha kusikitisha kuna watu mpaka sasa hawajui nini hatma yao kutokana na baadh ya vyuo kuchelewesha majina na baadhi ya watu hasa wa nacte kutoona majina yao kwenye vyuo walivyopangiwa.
Mpaka sasa watu wengi hatujapata admission letters na hata website za baadhi ya vyuo hazfunguki mf. NIT
wengine ndo wameambiwa wasubiri comfirmation za vyuo walvyopangiwa hadi leo.
Je, nini kifanyike ikzngatiwa kwamba udahili vyuoni unaanza!
tumechoka kusubiri!
Uchaguzi ndo huo umeisha tunasubiri matokeo lakini kwa upande mwingine tarehe za vyuo kufunguliwa ndo zmewadia lakina cha kusikitisha kuna watu mpaka sasa hawajui nini hatma yao kutokana na baadh ya vyuo kuchelewesha majina na baadhi ya watu hasa wa nacte kutoona majina yao kwenye vyuo walivyopangiwa.
Mpaka sasa watu wengi hatujapata admission letters na hata website za baadhi ya vyuo hazfunguki mf. NIT
wengine ndo wameambiwa wasubiri comfirmation za vyuo walvyopangiwa hadi leo.
Je, nini kifanyike ikzngatiwa kwamba udahili vyuoni unaanza!
tumechoka kusubiri!