Tumechoka kuandamana (sms sent)

Tumechoka kuandamana (sms sent)

usipotambua umuhimu wa maandamano utarazimika urudi shule.Maandamano yana umuhimu sana kuliko unavyofikiri na kuwaza.Nchi zenye demokrasia wanatambua umuhimu wake.watu wengi wanatoa majibu mepesi mno kuliko ukweli wenyewe.Niulize,wewe umekwenda kutoa maoni then maoni yako si chochote,hivyo wanaamua kuyazika na kutengeneza ya kwao.TUWAZE NA KUFIKIRI ZAIDI.
Wanaoandamana ni watu wasio na akili na wasiotumia kichwa kufikiri. Kwani mnapoandamana kuna suluhu yoyote inapatikana? Sanasana mtaishia kupigwa mabomu na marungu
 
Hizo ni fikra mgando,kama kweli unataka katiba sahihi yenye kutufikisha 50yrs later hatuna budi kuzingatia maoni ya wananchi.vinginevyo tunaweza kutengeneza katiba ya upande mmoja then baadae ikawa moto au shubili.
Wananchi wanawakilishwa vema na CCM. Wapinzani ni mawakala wa shetani tu
 
Wapenda mandamano njooni msome uzi huu yericko,ben saaanane na wengine wenye mawazo ya kuandamana na kufanya fujo.
Josephine hajaamka wanamuogesha Junior kwanza, ngoja wamalize watakuja full chaarged hapa.
 
Compromise ipo bungeni.rudini mkamalizie wajibu wenu mliotumwa.

Bunge lililotekwa na ccm..!? no way..! tukakutane kwa wananchi, kama hamkuwa na plan B mtauona moto.
 
tangu uanze kuandamana nini kimeeleweka kimaana, kama hujui maana ya siasa lazima ukae!!!
 
hata mi naunga mkono mda wa kuandama ni bora ushike jembe ukalime, wakae na wenzao wajadili hakuna linaloshindikana chini ya jua yote yanawezekana
 
Wananchi wanawakilishwa vema na CCM. Wapinzani ni mawakala wa shetani tu

Subirini twende kwa wananchi ndo mtajua kama wanawakilishwa ama la, vipi mbavu zinawabana ama. Tulia dawa iingie.
 
umeenza kuandamana toka lini? au viroba bado viko kichwani interahamwe mkubwa!
 
Wachumia tumbo tumeshawazoea

uingereza kwenyewe kunakotoa mabomba ya maziwa wanaandana
ije huku TANGANYIKA tunaoishi chin ya Tsh 1000/ kwa siku
 
usichokichoka wewe ni shida ya maisha haya yalivyo magumu, na kuona watu wakigawana mali za uma
 
Hivi ule mkutano wetu wa Kibanda maiti umeishaje maana tulisema hata polisi wazuie tutafanya.
 
watu wakigawana mali za uma

Hata pesa zilitumika kuratibu bunge maalum la katiba+posho walizo kula mpaka siku ile walipotoka nje, nazo ni mali za uma. Au kama ni waadilifu watuambie kama watazirudisha au.
 
Hata pesa zilitumika kuratibu bunge maalum la katiba+posho walizo kula mpaka siku ile walipotoka nje, nazo ni mali za uma. Au kama ni waadilifu watuambie kama watazirudisha au.

Ukawa majamba wazi tu. Wenye uamuzi wa mwisho kuhusu katiba n kura ya wananchi. Kinachowakimbiza n nin?
Hata wao serikali tatu lazima wananchi tungeipigia kura."referundum"
 
Tumechoka kuandamanishwa na wahuni,tumechokaaaaaaaaaaa

warudi bungeni ndiko katika inapojadiliwa,

posho wale wao,
sie tuandamane

Kumbe wewe huwa unaandamanishwa!!!,kama huwa unaandamanishwa watashindwa kweli kukufanyia mambo ya jamaa yule wa UK????.
 
Kwanza naomba mnielewe maandamano ni haki ya kisheria na sina mashaka na hilo.

Lakini inavyooneka suala la katiba limesha nunuliwa na wanasiasa.

Na kwavile wanasiasa hawaaminiki(rejea kauli ya ZITTO)

yawezekana wakawa waongo,walaghai,walubuni au waponzaji.

Tunaomba warudi mezani au kama wanataka kuandamana,basi waende wao na familia zao .

Tumeshaandamana sana lakini linapoku suala la chai ya magogoni tunajikuta tumerudi kulekule alikosema ZITTO.

Tulia dawa iingie (by H.KIGWANGALA)


Haya ni mawazo dhaifu sana na hutolewa na mtu dhaifu sana usikubali kushikiwa akili na hao ulio wa quote hapo juu ,jitahidi kutambua uhalisia wa rangi nyeupe na uhalisia wa rangi nyeusi pia.Unapoambiwa jambo fulani na mtu yeyote(hata kama ni kiongozi wako wa dini) jitahidi kulitafakari na kufikiri zaidi ,utaonekana wa mtu wa ajabu sana kama utalipokea lilivyo na kulishangilia na mfano mzuri ni wale wafuasi wa Kibwetere jinsi walijipata wamejichoma moto na sababu kuu ni kushikiwa akili na mtu mwingine.Hata baba wa taifa hili Mwalimu Jullius Nyerere aliwahi kusema “mtu yeyote anapokueleza jambo la kijinga na anajua ni jambo la kijinga na wewe ukalipokea lilivyo na kumshangilia atakudharau sana”tafakari tafadhali .
 
Back
Top Bottom