Tumechoka kuandamana (sms sent)

Tumechoka kuandamana (sms sent)

Sikuzaliwa ili niishi milele katika mwili huu. Kuna siku nitakufa na wala siogopi kufa! Ikitokea nakufa kwa kutetea haki ni heri kwangu kuliko kufa nikiwa nimejifungia ndani kwa woga!

kwahio unataka kufa na nani? Kama vyanzo vya kifo viko vingi tafuta jengo lolote refu ujiachie you'll be akhera at once.
 
acha uboya wewe maandamano muhimu watu watakufa lakini kizazi kijacho kitaneemeka unaona raha sirikali yako inavyofilisi nchi? think big!


mbona unasema watu watakufa badala kusema wewe utakufa. Jitabilie wewe mwenyewe kufa.
 
First of all we are not afraid of you cowards, and we are not afraid to die for we know that everyone is appointed to die one day. We are ready to die for the better future of our nation which you have been plundering down. We need a good constitution originated form Wananchi against that one of you which originates form a band of thugs called CCM. Be it tomorrow or ten years to come we shall make it!

are you ready to die as anexpendable of politician.
 
Duh! Hatari kwelikweli. Siamini kuwa michango hii imetoka kwa vijana tena waliojaaliwa kuzipata zile KKK yaani kusoma, kuandika na kuhesabu lakini wakanyimwa namna ya kureason. Na wengi wenu mnajipendekeza ili kupata kaajira au kaukuu ka wilaya na au nafasi zisizokuwemo kwenye mpango rasmi wa ajira. Ama kweli njaa mbaya! Kwa kuukosa kwenu utambuzi na kuziba kwa maskio yenu kwa sababu ya njaa hamuoni wala kusikia kinachoendelea dodoma. Ukawa hawana njia nyingine zaidi ya kurudi kwa waliotoa maoni na kuandamana ili kufikisha ujumbe kwa hao wajuaji wa kila kitu. Ni aibu kwa kijana kukubali kuandikiwa katiba na wastaafu ili hali muda kwao si rafiki tena! Waungeni mkono ukawa ili mlikomboe taifa lenu au mwawasubiri wachina waandikie katiba?
 
Lazima tuandamane nina hasira kinouma na serikali hii ya wachumia tumboo ccccccmmmmm
 
Duh! Hatari kwelikweli. Siamini kuwa michango hii imetoka kwa vijana tena waliojaaliwa kuzipata zile KKK yaani kusoma, kuandika na kuhesabu lakini wakanyimwa namna ya kureason. Na wengi wenu mnajipendekeza ili kupata kaajira au kaukuu ka wilaya na au nafasi zisizokuwemo kwenye mpango rasmi wa ajira. Ama kweli njaa mbaya! Kwa kuukosa kwenu utambuzi na kuziba kwa maskio yenu kwa sababu ya njaa hamuoni wala kusikia kinachoendelea dodoma. Ukawa hawana njia nyingine zaidi ya kurudi kwa waliotoa maoni na kuandamana ili kufikisha ujumbe kwa hao wajuaji wa kila kitu. Ni aibu kwa kijana kukubali kuandikiwa katiba na wastaafu ili hali muda kwao si rafiki tena! Waungeni mkono ukawa ili mlikomboe taifa lenu au mwawasubiri wachina waandikie katiba?


warudi tu bungeni tutawaunga mkono.

Kama wanataka maandamano na sisi watupe ile migao ya kutoka ughaibuni ili na sisi tuwepo kwenye hii plan B.
 
Haya ni mawazo dhaifu sana na hutolewa na mtu dhaifu sana usikubali kushikiwa akili na hao ulio wa quote hapo juu ,jitahidi kutambua uhalisia wa rangi nyeupe na uhalisia wa rangi nyeusi pia.Unapoambiwa jambo fulani na mtu yeyote(hata kama ni kiongozi wako wa dini) jitahidi kulitafakari na kufikiri zaidi ,utaonekana wa mtu wa ajabu sana kama utalipokea lilivyo na kulishangilia na mfano mzuri ni wale wafuasi wa Kibwetere jinsi walijipata wamejichoma moto na sababu kuu ni kushikiwa akili na mtu mwingine.Hata baba wa taifa hili Mwalimu Jullius Nyerere aliwahi kusema “mtu yeyote anapokueleza jambo la kijinga na anajua ni jambo la kijinga na wewe ukalipokea lilivyo na kumshangilia atakudharau sana”tafakari tafadhali .

nilidhan utaonesha huo udhaifu ila umeandika hstoria tu.
 
Acha utani na utoto, huogopi kufa kweli wewe?

I think usingekuwepo duniani iwapo usingekuwa huogopi kufa? At least Ponda anaweza shuhudia alishawahi pigwa risasi, wewe jeuri hio huna Kunguru wewe
Usingekuwa umetukana ningekujibu!
 
Kuandamana ni haki yangu ya kikatiba ila mimi kama kijana sipaswi kuitumia haki hii vibaya kwa kupotoshwa na wana siasa, kuhusu swala la katiba waludi tu bungeni wakashindane kwa hoja si kuja kutushawishi vijana tuandamane.
 
msijidanganye,watu wakuandamana wapo wengi sana.msije mkadharau hoja za wapinzani mkadhani wako peke yao.tena wandamanaji wa upinzani huwa ni hatari sana maana ni watu wenye akili zinazohitaji mafanikio makubwa kimaisha halafu hawapati hayo mafanikio.waandamanaji wa vyama tawala huwa hawanamisukumo sana maana wanakua ni watu wanaohitaji sana kuishi.meza ya mazungumzo ndio suluhu,kejeli na dharau sio jambo jema.
 
Mchuma janga hula na wakwao wewe kaandamane tu maana kwenu mmezaliwa wengi na mama yako anayo mimba nyingine bila kusahau huna majukumu wala cha kupoteza.
 
Back
Top Bottom