Tumebonyeza kizenji bonyeee! Wamekuwa mdebwedo?

Tumebonyeza kizenji bonyeee! Wamekuwa mdebwedo?

Watu wa jf huwa mnajikuta wanafalsafa kuliko aristotle kwamba umepiga filosofi ngumuuuu nisiyoweza kung'amua. Amka ndotoni, ni kuwa mabadiliko hayatawahi haraka tudhaniavyo ila pia kusema yatachelewa kwa atleast miaka 200 ijayo huo ni uongo mkubwa, labda useme ulitumia hyperbole to get your point across
Yale mambo matano (5) niliyosema UMMA kwa sasa hawezi kufanya chochote, ukiyajua kwa undani ndo utanielewa. Mlezi wa hayo yote anaitwa "ubinafsi". Hii ni nyongo iliyomezwa na watanganyika kuanzia ngazi ya familia hadi taifani. Leo unajidai una miaka zaidi ya 60 ya uhuru. Ni kitu gani hasa kimebadirika tangu uupate huo uhuru???

Narudia tena. Inahitaji "critical thinking" kunielewa nachosema. Sina uhakika kama ipo siku utanielewa labda ukifikisha miaka 200.
 
Kazi tumeshamaliza! Hakuna nyangenyange wala kumbikumbi aliyethubutu kuzuia mipango yetu. Tumebonyeza kizenji bonyeeeee! Wamegeuka mdebwedo. Na bado! Lisu wenu twamuachia msije Lia. Ametiatia huruma dadeki!
Huyu Lissu anatakiwa ale kitanzi wengine watie akili.
 
Yale mambo matano (5) niliyosema UMMA kwa sasa hawezi kufanya chochote, ukiyajua kwa undani ndo utanielewa. Mlezi wa hayo yote anaitwa "ubinafsi". Hii ni nyongo iliyomezwa na watanganyika kuanzia ngazi ya familia hadi taifani. Leo unajidai una miaka zaidi ya 60 ya uhuru. Ni kitu gani hasa kimebadirika tangu uupate huo uhuru???

Narudia tena. Inahitaji "critical thinking" kunielewa nachosema. Sina uhakika kama ipo siku utanielewa labda ukifikisha miaka 200.
Kila kitu ni hatua
1961-1985 zidumu fikra sahihi za mwenyekiti. Tukaweza kuvuka hicho kigingi
1965-1992 chama kimoja, kuwaza kuleta vyama vingi ilikuwa ni sawa na uhaini. Tukavuka hicho kigingi
1977-2014 katiba kongwe, hadi walipo give in to internal pressure na kukubali kuandika katiba mpya ambayo bahati isivyo wakaichakachua
2020-to date katiba mpya joto lipo hadi ccm wanaiahidi kwenye ilani yao ya 2025/30

Bado unasisitiza itatuchukua 200 years kuleta changes?

mabadiliko yanakuja watake wasitake sababu dunia na ulimwengu wote msingi wake ni mabadiliko hakuna kitu kilicho permanent. Hatua zinapigwa japo ni incremental ila ndio zinatupeleka karibu zaidi na mabadiliko.
Sasa niambie ni watz wapi waliokuwa waoga zaidi wa kipindi hiki ama cha nyerere hadi wakafanikiwa kushinikiza hizo changes zote? Factor in whatever conditions you may it won't take even 1/10 of your projected time for changes to happen
 
😂😂😂badala ha kukasiriki inabidi tu nicheke kwa hiyo mmbonyeza kizenji endeleeni kubonyeza mpaka siku hao mnaowabonyeza watagoma kubonyezeka
 
Don't ever try !!.

Kuhusu LISSU alishasema hataki Huruma, Tena akisisitiza mpeleke kesi Mahakama Kuu , akikutwa na Hatia anyongwe !!.


Kuhusu Samia , Ilikua ni jambo gumu na lisowezekana Kwa Nchi kuendelea kua Na Rais ambaye chini yake Utekaji utaendelea, Mauaji ya Watu wakiwemo Viongozi wa Dini yataendelea, Kesi za KISIASA ziendelee, Uuzaji wa Maliasili na Rasilimali za Nchi uendelee , Umasikini ukiongezeka Deni la Taifa likiongezeka , NI NGUMU MNO NA ISINGEWEZEKANA.



Niwaambie Watanzania, wawe na Amani, watulie na wawe na Furaha , SAMIA HANA NAMNA YOYOTE KUENDELEA KUA RAIS Licha ya hizi sarakasi zake , Kwanza Tumuonee Huruma !!.
Amekuomba huruma Yako!?Mtekaji anahurumiwa vp
 
Kazi tumeshamaliza! Hakuna nyangenyange wala kumbikumbi aliyethubutu kuzuia mipango yetu. Tumebonyeza kizenji bonyeeeee! Wamegeuka mdebwedo. Na bado! Lisu wenu twamuachia msije Lia. Ametiatia huruma dadeki!
Usiku mmoja ni mrefu sana kwa binadamu
 
Don't ever try !!.

Kuhusu LISSU alishasema hataki Huruma, Tena akisisitiza mpeleke kesi Mahakama Kuu , akikutwa na Hatia anyongwe !!.


Kuhusu Samia , Ilikua ni jambo gumu na lisowezekana Kwa Nchi kuendelea kua Na Rais ambaye chini yake Utekaji utaendelea, Mauaji ya Watu wakiwemo Viongozi wa Dini yataendelea, Kesi za KISIASA ziendelee, Uuzaji wa Maliasili na Rasilimali za Nchi uendelee , Umasikini ukiongezeka Deni la Taifa likiongezeka , NI NGUMU MNO NA ISINGEWEZEKANA.



Niwaambie Watanzania, wawe na Amani, watulie na wawe na Furaha , SAMIA HANA NAMNA YOYOTE KUENDELEA KUA RAIS Licha ya hizi sarakasi zake , Kwanza Tumuonee Huruma !!.
Hakunaa comment ya kipumbavu kama hii
 
Don't ever try !!.

Kuhusu LISSU alishasema hataki Huruma, Tena akisisitiza mpeleke kesi Mahakama Kuu , akikutwa na Hatia anyongwe !!.


Kuhusu Samia , Ilikua ni jambo gumu na lisowezekana Kwa Nchi kuendelea kua Na Rais ambaye chini yake Utekaji utaendelea, Mauaji ya Watu wakiwemo Viongozi wa Dini yataendelea, Kesi za KISIASA ziendelee, Uuzaji wa Maliasili na Rasilimali za Nchi uendelee , Umasikini ukiongezeka Deni la Taifa likiongezeka , NI NGUMU MNO NA ISINGEWEZEKANA.



Niwaambie Watanzania, wawe na Amani, watulie na wawe na Furaha , SAMIA HANA NAMNA YOYOTE KUENDELEA KUA RAIS Licha ya hizi sarakasi zake , Kwanza Tumuonee Huruma !!.
Ahahahaha majuha hii nchi wako wengi sana..
 
Back
Top Bottom